Base (Swahili) |
English |
Kwa mujibu wa katiba ya Tanzania, kijana anatakiwa kuwa na umri kati ya miaka 15 hadi 35 ambaye ni nguvu kazi katika jamii, lakini vijana wengi uonekana kuwa na hali duni ya maisha wakati wao wanao uwezo wa kufanya kila aina ya kazi na kuleta mabadiliko katika jamii.Je sababu kubwa inayomfanya kijana kuwa nyuma katika kipato ni ipi?
|
According to the Constitution of Tanzania, youth should be between the ages of 15 and 35 who are strongly active in the community, but many young people appear to have poor living conditions when they have the ability to do all kinds of work and make a difference in the community . Did the youth gets a major factor behind the income that would be?
|