Base (Igiswayire) | English |
---|---|
TASJA yapata viongozi wapya Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam CHAMA cha Waandishi wa habari za Sayansi nchini (TASJA), kimepata viongozi wapya watakiongoza chama hicho kwa kipindi cha miaka mitatu ijayo Waliochaguliwa ni Pamoja na Greyson Mutembei, ambaye ni Mwenyekiti mpya, Bakari Kimwanga Makamu Mwenyekiti, Benard Lugongo Katibu Mkuu na Nasra Abdallah Mweka hazina. Mbali mkutano huo umewachagua wajumbe wa kamati ya utendaji ambao ni David Ramadhan, Asia Rweymamu, Gabriel Mushi, Restusta James, Jackob Nduye na Hamis Shimye. Awali akifungua mkutano Mkuu huo wa mwaka, mgeni rasmi ambaye pia ni Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH), Dk. Hassan Mshinda, alisema ili nchi iweze kuendelea inahitaji wanasayansi na wabunifu wengi ambao wataleta maendeleo nchini. “Tunajua TASJA kwa namna mlivyo mnaweza mkawa chachu ya maendeleo katika sekta ya Sayansi nchini, nasi kama wadau wakuu tunaamini waandishi wa habari mna mchango mkubwa katika wakuelimisha wananchi. “Ahadi yangu kwenu TASJA kupitia COSTECH mnafika mbali sambamba na kuwaunganisha na taasisi zingine kimataifa,” alisema Dk. Mshinda Kwa upande wake Meneja Mkuu wa Biashara na uwakala wa Shirika la Posta Tanzania (TPC), Kilala Sendama, alisema kuwa hivi Maendeleo ya teknolojia za mawasiliano yamejkuwa yakichukua nafasi kubwa katika maendeleo ya Taifa. “Kwetu TPC tumejiandaa katika kutoa huduma zatu ikiwemo EMS, Post Cargo na Inateranet ambayo imekuwa ikitumiwa na watanzania wetu nanyi TASJA ni moja ya wadau wetu,”alisema |
TASJA find new leaders By Our Reporter, Dar es Salaam ASSOCIATION of Journalists of Science in (TASJA), has received new leaders will lead the party for the past three years Includes Chosen Mutembei Greyson, who is the new Chairman, Vice Chairman Bakari shed, Benard Lugongo Abdallah Nasr Secretary General and Treasurer. Apart from the conference has been appointed members of the executive committee who is David Ramadan, Asia Rweymamu, Gabriel Mushi, Restusta James, Jackob Nduye and Hamis Shimye. Initially he opened an annual general meeting, a special guest who is also Director General of the Commission on Science and Technology (COSTECH), dr. Hassan won, he said that the country needs to be able to keep many scientists and designers who will bring development in the country. "We know that ye TASJA way you can become catalyst of development in the sectors of science in the country, and we as key stakeholders we believe the media have a great role in wakuelimisha citizens. "Promise me you TASJA through COSTECH you come off the line and connect with other international institutions," said Dr. Overcome For his part General Manager of Business and representations of Tanzania Posts Corporation (TPC), sleep Sendama, said that this development of communication technology yamejkuwa yakichukua role in national development. "Us TPC we are prepared to provide services Zattu including EMS, Post Cargo and Inateranet which has been used by our Tanzanian TASJA you are one of our partners," said |
Ibyasobanuwe
|