Envaya

Tafsiri: English (en): Maandiko ya Watumiaji: WI0005964261565000102067:content

Asili (Kiswahili) English

MCHAKATO WA KUPATA WAJUMBE WA BODI YA MED WAANZA.  Na. Bentez Fares.

Asasi ya Marafiki wa Elimu Dodoma (MED) imeanza mchakato wa kutafuta Wajumbe wa Bodi yake kwa ajli ya kusimamia shughuli za Asasi hiyo. Mchakato huu umeanza siku chache baada ya MED kuwasilisha Katiba na vielelezo muhimu kwenye Ofisi ya Msajili wa Asasi za Kiraia katika Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto na kuahidikwa kupata hati ya usajili ifikapo Ijumaa ya tarehe 10 Februari; 2012.

Katiba ya MED inaelekeza kuwa kutakuwa na Bodi ya Ushauri ya MED ambayo itasimamia Sekretarieti ya MED katika utekelezaji wa wa majukumu na kuwasilisha taarifa yake kwenye Mkutano Mkuu wa Wanachama.

Bodi ya MED itakutana mara nne kwa mwaka katika vikao vyake vya kawaida na pia inaweza kuitisha mkutano wa Bodi wa dharura wakati wowote itakapoonekana inafaa kufanya hivyo.

Ili kuwepo na uwiano wa kijinsia katika Bodi hiyo; Katiba ya MED inaelekeza kuwa wajumbe watakuwa tisa na kati yao lazimama watatu kati yao wawe wanawake. Kwa mujibu wa katiba hiyo; wanawake wanaweza kuchaguliwa kwa idadi yoyote kuingia kwenye Bodi hiyo.

Kwa mujibu wa taarifa za ndani ya MED wajumbe wa Bodi wanapaswa kuomba kupata nafasi hizo. Asasi ya MED ni miongoni mwa asasi chache za Mkoa wa Dodoma zinazo juihusisha na Elimu, Demokrasia, Utawala Bora na utetezi wa Haki za Wanafunzi.

PROCESS OF GETTING TO MEMBERS OF THE BOARD OF ONE. And. Bentez Fares.

Organization Friends of Education Dodoma (TO) has begun the process of searching for members of the Board to manage a way that gives the alliance activities. This process started a few days after TO the Constitution and submit necessary documents to the Office of the Registrar of Civil Society in the Ministry of Social Development, Gender and Children and kuahidikwa get a certificate of registration by Friday on February 10, 2012.

TO the Constitution instructs that there will be Advisory Board that will oversee the Secretariat WITH WITH the implementation of the obligations and submit its report to the General Conference of the Parties.

TO the Board will meet four times a year at its regular meetings and may convene an emergency meeting of the Board at any time shall appear fit to do so.

To be a gender balance in the Board; WITH Constitution instructs that delegates will be among them lazimama nine and three of them be women. According to the constitution, women can be selected for any number into the Board.

According to reports in the med board members should apply to these positions. TO the organization is among the few institutions in Dodoma Region juihusisha lights and Education, Democracy, Governance and Students' Rights advocacy.


Ili kuhariri tafsiri, lazima ufungue. Fungua · Jiandikishe

Historia ya tafsiri

Google Translate
8 Februari, 2012
PROCESS OF GETTING TO MEMBERS OF THE BOARD OF ONE. And. Bentez Fares. – Organization Friends of Education Dodoma (TO) has begun the process of searching for members of the Board to manage a way that gives the alliance activities. This process started a few days after TO the Constitution and submit necessary documents to the Office of the Registrar of Civil Society in the Ministry of Social Development, Gender and Children and kuahidikwa get a certificate of...