Envaya

Tafsiri: English (en): Maandiko ya Watumiaji: WI000CB8CCFDDF6000066455:content

Asili (Kiswahili) English
Kijana mpiga nondo akionyesha juu vitendea kazi baada ya kukamatwa ndani ya chuo cha kanisa la Anglicana Kigamboni Iringa


Baba mzazi wa kijana huyo juu akiwa chini ya ulinzi wa polisi jamii


Vijana wapiga nondo wakiwa chini ya ulinzi mkali wakati wa msako ulioanza majira ya saa 2 hadi asubuhi eneo la Muungano, Kigamboni ,Frelimo n.k


Vibaka watano wanaodaiwa kuhusika na upigaji nondo wakiwa chini ya ulinzi wa sungusungu



Fedha ambazo wapiganondo hao wamesalimisha baada ya kujeruhi watu wawili majira ya saa 2 eneo Mawele wele mjini Iringa wakati msako ukiendelea

Msako mkali ukifanywa na wananchi wa kata ya Mwangata na Mkwawa leo huku mwanamke mmoja pekee akijitolea kushiriki msako huo



Sakata la wananchi kupigwa nondo katika kata ya Mkwawa na Mwangata Manispaa ya Iringa limeendelea kuchukuasura mpya baada ya wananchi wa kata hizo wakiongozwa na sungusungu na polisi kufanya msako mkali nyumba kwa nyumba na kufanikiwa kuwakamata washiriki wa mtandao huo zaidi ya wanne pamoja na mali mbali mbali ambazo wananchi walipokonywa.



Pamoja na msako huo kufanyika katika nyumba za wananchi hao pia mmoja kati ya vibaka amekutwa ndani ya chuo cha kanisa la Anglikana eneo la Mawele wele akiwa amefichwa na mzazi wake.


Pia kijana mmoja kati ya waliokamatwa katika msako huo ni mtoto wa mchungaji wa kanisa moja la kilokole mjini Iringa ambaye amekamatwa maeneo ya Muungano .


katika msako huo vijana hao walikuwa wakipokea kipigo kikali kutoka kwa wananchi hao wenye hasira kali na baada ya hapo vijana hao wamekuwa wakitaja orodha ya matukio na idadi ya watu ambao wamewapiga nondo na kutaja pia kushiriki kumuua kijana Damas Kisinga .


Vibaka hao ambao majina yao tunayo japo kwa sasa yamewekwa kapuni kwaq muda ili kuendeleza msako zaidi wapo wanafunzi ,mtoto wa askari mstaafu wa jeshi , mtoto wa mchungaji wa kilokole na wote ni vijana kati ya miaka 20 hadi 35 na kuwa kila wanapopiga mtu nondo mali hukabidhi wa wakubwa wao na wapo hupata mgao wa kati ya shilingi 5000 hadi 20000 kwa makusanyo yanayozidi kiasi cha shilingi 200,000.


Wamedai kuwa baadhi yao wamekuwa wakilazimishwa na viongozi wao hao kushiriki katika vitendo hivyo ,ambapo viongozi hao wao wamekuwa wakitoa maelekezo ya watu wa kuwavamia na wale wa kupigwa nondo hadi kufa ama kukatwa mapanga.


Wamedai kuwa hadi sasa kuna orodha ya nyumba zaidi ya 50 katika manispaa ya Iringa ambazo zilikuwa katika mpango wao wa kwenda kuzivamia na kufanya uporaji .


Hata hivyo walidai kuwa walikuwa katika maandalizi ya kufanya uporaji mkubwa katika maeneo mbali mbali ya mji wa Iringa na kuwa mtandao wao kwa sasa ni mkubwa zaidi.


Pia alisema kuwa mtandao huo umeendelea kukua zaidi baada ya kukamatwa na kuachiwa na polisi na kuwa baadhi ya washiriki wa mtandao huo ni wale waliopata kutumikia vifungo jela na baadhi ya wamekuwa wakikamatwa na kuachiwa na polisi .


Wakati kipigo kikali kikiendelea kwa vibaka hao mmoja kati yao amesalimisha fedha kwa sungusungu hao kwa madai kuwa fedha hizo kiasi cha zaidi ya shilingi 20,000 kuwa walikuwa wametoka kupora usiku wa leo.

Wakati huo huo wananchi wamelitaka jeshi la polisi mkoani Iringa kutoa waachia mapema watuhumiwa hao wa upigaji nondo na kuhoji sababu ya mmoja kati ya watuhumiwa aliyekamatwa juzi ambaye ni mzazi wa Msafiri Ilomo kuachiwa huru kabla ya upelelezi wa suala hilo kukamilika .



Msaka huo bado unaendelea usiku huu na mimi nitaendelea kuwapa taarifa kulingana na matukio yatakavyo jitokeza
The boy struck the moths showing up resources after the capture into the college of the Church of Anglicana Kigamboni Iringa


Father parent of a young man on custody of the police community


Young voters moths under a strict security during the trapping season started two hours until the morning of the Union area, Kigamboni, Frelimo etc.


Baka five people allegedly involved in the aerial moth under the protection of the ant



Wapiganondo money that they surrendered after injuring two people at two seasons in Iringa region udder milk during search continues

Personalized sharp if done by the citizens of the county of Mwangata and Mkwawa today with only one woman was offering to share the same trapping



Sakata of the country being a moth in the county of Mkwawa and Mwangata Municipal Iringa limeendelea kuchukuasura new after the citizens of the county which led to the ant and the police to raid fierce house to house and succeeded in arresting members of the network over four possessions away from that people were dispossessed.



With the same search done in the houses of the country also has one of the stain found in the Anglican college area of ​​sorghum or millet grain being hidden by his parent.


Also a young man among those arrested in the raid was a son of the pastor of one church of born-again who was arrested in Iringa regions of Tanzania.


in trapping the boys were received a blow from an agent in their fierce and angry after that the boys have been named a list of events and the number of people who have struck a moth to mention also involved killing the boy Damas Singa.


Bacterial those whose names have at least for now delegated to Cart kwaq time to develop the search further there are some students, child soldiers, former soldiers, the son of a pastor of a born-again and all youths between the ages of 20 to 35 and have each pitched one moth property is handed over The biggest of them and there gets a share of between 5000 to 20,000 shillings for collections in excess of Shs 200,000.


Claimed that some of them have been forced by their leaders to participate in these actions, where their leaders have been given instructions for the attack and those of moths beaten to death or cutting swords.


Claimed that up to now there is a list of more than 50 houses in Iringa Municipality, which were in their plan to go kuzivamia and looting.


However, they claimed that they were in preparation to make sporadic in areas far away from the town of Iringa and that their network is now the largest.


He also said that the network has continued to grow after being arrested and released by police and some members of the network are those who have served sentences in jail and some have been arrested and released by police.


When the agent continues to blow the spot one of them has surrendered the money to ant alleged that funds amounting to more than 20,000 shillings that they were out to loot tonight.

Meanwhile people have willed military police in Iringa to the early chia accused of beating the moth and questioned why one of the suspects arrested yesterday who is a parent of a Traveler Ilomo released before completion of the investigation into the matter.



Trapper is still underway tonight and I will continue to give notice according to the events occurred yatakavyo

Ili kuhariri tafsiri, lazima ufungue. Fungua · Jiandikishe

Historia ya tafsiri

Google Translate
15 Novemba, 2011
(image) The boy struck the moths showing up resources after the capture into the college of the Church of Anglicana Kigamboni Iringa – (image) Father parent of a young man on custody of the police community ...
Google Translate
12 Oktoba, 2011
(image) Boy struck moth showing up tools after being arrested in the college of the Church of Anglicana Kigamboni Iringa – (image) Father parent of a young man about being under police protection society ...
This translation refers to an older version of the source text.