Envaya

Translations: English (en): User Content: dM000B791DF5C6A000019319:content

Base (Swahili) English
Mapungufu yaliyomo katika katiba ya sasa ni:- 1. Katiba hii ilitungwa katika mfumo wa chama kimoja hivyo ni dhahiri kuwa inakibeba chama hicho. 2. Katiba hii inampa raisi mamlaka makubwa mno, pamoja na vyombo vya kiutendaji; hakuna mtanzania mwenye uwezo wa kuhoji hasa katika mfumo wa vyama vingi. 3. Uteuzi wa watendaji wa taasisi za kiutendaji kama taasisi ya kuzuia na kupambana rushwa (TAKUKURU) na tume ya maadili ya viongozi uko chini ya raisi hivyo kushindwa kutoa mwanya wa kuhoji. 4. Raisi akistaafu, inampa kinga ya kutoshtakiwa hata kama alitenda ndivyo sivyo.
Limitations contained in the current constitution is: - 1. This Constitution was organized in a one-party system, it is obvious that inakibeba party. 2. This constitution gives the president greater authority too, with executive agencies, a Tanzanian who is no ability to question, especially in multi-party system. 3. Appointment of administrators of institutions interact as an institution to prevent and fight corruption (TAKUKURU) and the ethics commission of officials below the president thus failing to provide a loophole of questioning. 4. President he retires, gives breathing kutoshtakiwa so even if he does not.

In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
May 8, 2011
Limitations contained in the current constitution is: - 1. This Constitution was organized in a one-party system, it is obvious that inakibeba party. 2. This constitution gives the president greater authority too, with executive agencies, a Tanzanian who is no ability to question, especially in multi-party system. 3. Appointment of administrators of institutions interact as an institution to prevent and fight corruption (TAKUKURU) and the ethics commission of officials below the president thus...