Envaya

Translations: English (en): User Content: WI000573D49B43E000102695:content

Base (Swahili) English

DSC_0033.jpg
Kamati ya muda ya kushughulikia madai ya madaktari nchini inapenda kuwajulisha madaktari wote pamoja na kada nyingine zote za afya nchini juu ya kile ambacho kimejiri katika siku ya leo ya tarehe 09.02.2012 ikiwa ni matokeo ya kikao wanataaluma wa kada za afya na Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda na baadaye kufuatiwa na kikao kati ya madaktari na kada nyingine za afya.
Ifahamike kuwa kama Kamati tulipata mwaliko wa kushiriki katika Mkutano huo ambapo ilitarajiwa kuwa Mhe, Waziri mkuu atafika kwa nia ya kutoa mrejesho wa madai ya madaktari yaliyowasilishwa mezani kwake mnamo tarehe 23.01.2012. Madai yetu yalikuwa manane na Mh Wazizri mkuu aliweza kutoa maelezo ya dai moja baada ya lingine.
Miongoni mwa madai ambayo mpaka sasa yamepatiwa majibu ya kuridhisha ni pamoja na;
  1. Kuwawajibisha watendaji wakuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, wakiwemo Katibu Mkuu Mama Blandina Nyoni , na Mganga Mkuu wa Serikali Dr. Deo Mtasiwa. Aidha Mh waziri mkuu alisema kuwa ameshalifikisha kwa Mh Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania suala zima la kuwawajibisha watendaji wa wakuu wa kisiasa wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii ambao ni Waziri Mh Hadji Mponda na Naibu Waziri Mhe. Lucy Nkya.
  2. Kama sehemu ya maridhiano, Mh Waziri Mkuu pia aliahidi mbele ya mkutano kuwa hakutawepo na unyanyasaji au vitisho vya aina yoyote ile kwa wale wote walioshiriki katika kushinikiza Serikali kutatua kero hizo. Aidha kama sehemu ya maridhiano, Mh waziri Mkuu pia alifuta zuio la madaktari kutokufanya mikutano. Lakini pia, Mh waziri Mkuu alisema kuwa Serikali haina kusudio la kumfukuza kazi mtumishi yeyote wa afya yule kazi aliyeshiriki katika mchakato huu wa kuishikiniza Serikali kutafuta ufumbuzi madai ya madaktari nchini.
  3. Aidha, Mh waziri Mkuu amesema “Interns” wote waliokuwa wamehamishwa kutoka Hospitali ya Taifa ya Muhimbili wamesharudishwa bila masharti katika hospitali hiyo ili kuendelea na program kama kawaida. Hili pia linaambatana na kulipwa na kupewa stahiki zao zote.
  4. Pia suala la madaktari na familia zao kuwa na Kadi ya Bima ya Afya ya kijani( Green Card) limekubaliwa na kwa sasa tusubiri utekelezaji.
  5. Pia ilikubaliwa kuwa madaktari watapata fursa ya kukopeshwa magari kama watumishi wengine wa umma.
Mbali na madai hayo, pia Mh. Waziri Mkuu alitoa ufafanuzi juu ya madai yanayuhusu maslahi ya watumishi wa afya ikiwa ni pamoja na Mishahara na Posho na stahiki mbalimbali. Lakini hata, Mh waziri Mkuu hakutoa majibu ya moja kwa moja ya kiwango gani kitakachoweza kulipwa na Serikali kama mishahara, posho na stahiki mbalimbali kwa minajili kwamba bado zinafanyiwa kazi na kamati ya wataalamu aliyoiunda ili waweze kumshauri.
Aidha, Mh waziri Mkuu alisema kuwa kwa wakati huu inaweza kupandisha “on call allowances” za kada mbalimbali za afya kutoka shilingi 3,000 – 10,000/= na kufikia kati ya shilingi 5,000 hadi 25,000. Madaktari bado wanaona ongezeko hili halilingani na ukubwa wa kazi ifanywayo pindi mtumishi wa afya anapokuwa “on call” na hivyo basi kuendelea kupendekeza kuwa “on call” allowance iwe ni 10% ya mshahara wa mtumishi husika.
Pia Mhe, Waziri Mkuu hakuweza kueleza kinagaubaga mkakati kazi wa uboreshaji wa huduma za afya wapatayo wananchi wa Tanzania.
Baada ya tamko hilo la Serikali kumalizika, Mh Waziri Mkuu na ujumbe wake waliondoka, na Mkutano huo ukaendelea kwa Kamati kufanya Mkutano na madaktari wote, lengo ikiwa kujadili tamko hilo na kutoa maazimio.
Baada ya majadiliano ya muda mrefu, madaktari walikubaliana kwamba; kwa kuwa Serikali imeanza kuonyesha nia ya kutatua tatizo hili kwa kutekeleza baadhi ya maazimio yetu, wajumbe kwa niaba ya madaktari wote nchi nzima tulikubaliana na kuazimia yafuatayo;
  1. Kurudi kazini mara moja kuanzia kesho tarehe 10.02.2012 bila masharti yeyote.
  2. Kamati ya jumuiya ya madaktari kama sehemu ya MAT kuendelea kukaa mezani ya majadiliano na Serikali ili kuanza kupitia madai hasa yale yanayohusu maslahi.
  3. Kukutana tena tarehe 03.03.2012 ili kupata mrejesho wa kiwango cha utekelezaji wa madai hayo kwa mujibu wa vikao vya majadiliano na makubaliano na hatimae kuchukua hatua zaidi.
  4. Kujadili utekelezaji juu ya Kuwawajibisha Waziri na Naibu Waziri wa Afya na Ustawi na Jamii.
  5. Mwisho kabisa Madaktari wote kwa ujumla wake walilaani na kukemea kitendo cha Jeshi la Polisi kuwakamata na kuwahoji wanaharakati wa haki za kibinaadamu na mashirika ya kijamii wakiwemo Dr. Hellen Kijo-Bisimba na Mama Ananilea Nkya na wanaharakati wengine wote waliokumbwa na kamata kamata hiyo na hivyo basi tunalitaka jeshi hilo kuwaachilia huru mara moja bila masharti yeyoye.
Pamoja Tunaweza
Imetolewa na Kamati ya muda ya kushughulikia madai ya madaktari Tanzania
Dr, Ulimboka Stephen
Mwenyekiti.

DSC_0033.jpg
Committee time to deal with allegations of doctors would like to inform all doctors and all other health cadre in on what kimejiri on this day on 09/02/2012 as a result of meeting the cadre of health professionals and Prime Minister Hon. Ministry of Defense and later followed by a meeting between doctors and other health cadre.
The Committee noted that if we got an invitation to participate in the meeting where it was expected that the Hon, Prime Minister will come with the intention of providing feedback to the claims of doctors presented her table on 23.01.2012. Our demands were eight and Hon Wazizri head can provide a description of one claim after another.
Among the claims that until now yamepatiwa satisfactory answers include:
  1. Hold their chief executives of the Ministry of Health and Social Welfare, including the Secretary General Blandina Nyoni mother, and the Government Medical Officer Dr. Deo Mtasiwa. Furthermore Hon Prime Minister said that he shalifikisha by Hon President of the United Republic of Tanzania whole issue of chief executives accountable political Ministry of Health and Social Welfare who is Hon Minister and Deputy Minister Hadji crush Hon. Lucy Nkya.
  2. As part of reconciliation, Hon Prime Minister also pledged before the meeting that there tawepo and violence or threats of any kind for all those involved in pressing the Government to resolve these concerns. Also as part of reconciliation, Hon Prime Minister also sought withholding of doctors sideline meetings. But also, Hon Prime Minister said that Government has no intention to dismiss any minister of health work the work was involved in this process of finding solutions kuishikiniza government claims of doctors in the country.
  3. Moreover, the Hon Prime Minister said "interns" all who were evacuated from the Muhimbili National Hospital have sharudishwa without conditions at the hospital to continue the program as usual. This also linaambatana paid and given all their eligible.
  4. Also the issue of doctors and their families have Health Insurance Card green (Green Card) is accepted and is now waiting for implementation.
  5. Also it was agreed that doctors will have the opportunity to be borrowed cars like other public servants.
In addition to these allegations, also Hon. Prime Minister commented on the allegations yanayuhusu interests of health staff including salaries and allowances and various eligible. But even, Honourable Prime Minister did not give direct answers to what extent the government is going to be paid as salaries, allowances and various eligible for purposes that remain are being addressed by a committee of experts was yoiunda so they can advise.
Moreover, the Hon Prime Minister said that at this time can raise "on call allowances" of various cadre of health from Shs 3000 to 10,000 / = to reach between 5,000 to 25,000 shillings. Doctors still see this increase is unparalleled magnitude of the task made ​​without hands when he was minister of health "on call" and thus continue to suggest that "on call" allowance it is 10% of the wages of a servant concerned.
Also Hon, Prime Minister could not explain quite clearly the work of the improvement strategy of wapatayo health services in Tanzania.
After the declaration of the Government ends, Honourable Prime Minister and his delegation had left, and conference proceedings of the Conference Committee to all doctors, the aim being to discuss the declaration and resolutions.
After lengthy discussions, the doctors agreed that, because the Government has begun to show interest in solving this problem by implementing some of our resolutions, the delegates on behalf of all doctors nationwide we agree with the following great resolution;
  1. Immediately return to work from tomorrow...

In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
February 14, 2012
...
Google Translate
February 14, 2012
...