Envaya

Translations: English (en): User Content: WI0008F0DF3E243000090577:content

Base ((unknown language)) English
_MG_0663.jpg
Mkazi wa Jangwani bondeni, Dar es Salaam, Mohamed Zuberi akilalamika mbele ya wanahabari jana, kuhusu utaratibu unaotumiwa na maofisa wa Manispaa ya Ilala kuhakiki nyumba zao zitakazobomolewa kufuatia amri ya Serikali.
_MG_0665.JPG
Mkazi wa Jangwani, Dotto Ngoyeji akieleza malalamiko yake mbele ya wanan habari, kwamba Serikali inatakiwa kuata utaraibu kuwatendea haki katika mchakato huo wa kuhakiki nyumba zao.
_MG_0645.JPG
Mmoja wa maofisa wa kutoka Manispaa ya Ilala, akiweka alama katika moja ya nyumba eneo la Jangwani.
IMG_0650.jpg
Mama mkazi wa Jangwani, Dar es Salaam eneo lililokumbwa na mafuriko hivi karibuni, akiwa na huzuni baada ya nyumba yake kuwekwa alama ya kubomolewa na wakati wa mchakato wa kuhakiki nyumba hizo uliokuwa unafanywa na Maofisa wa Manispaa ya Ilala.Picha Zote na Richard Mwaikenda
hakingowi?d=yIl2AUoC8zA
ojKC_R_-2Tw
(Not translated)

In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register