Envaya

Tafsiri: English (en): Maandiko ya Watumiaji: WI0007E257E9C7B000077345:content

Asili (Kiswahili) English


DC-Paschal%2BMabiti.JPG
Mkuu wa wilaya Singida Paschal Mabiti akizungumza na wachimbaji wadogowadogo wa dhahabu kijiji cha Sambaru wilayani humo, ambapo aliwapa siku tatu hadi ijumaa wiki hii kuhakikisha wameondoka kwenye eneo hilo ili kumpisha mwekezaji kampuni ya Shanta.

Mchimbaji%2BGeorge%2BStevin%2Bakiuliza%2
Mchimbaji George Stiven,kwa niaba ya wenzake akiomba waongezewe muda ili waondoke kwenye eneo hilo kama ilivyoamuliwa na serikali kwa ajili ya kumpisha mwekezaji anayetarajia kufungua mgodi,baada ya kukamilisha kazi ya kutafiti madini ya dhahabu.
Askari%2Bwakidhibiti%2Bmkutano.JPG
Baadhi ya askari kikosi cha kutuliza ghasia waliofuatana na mkuu wa wilaya ya Singida Paschal Mabiti, wakiwa kwenye eneo la mkutano, tayari kudhibiti lolote linaloweza kuhatarisha uvunjifu wa amani

Singida
Novemba 01,2011
MKUU wa wilaya Singida Paschal mabiti ametoa siku kwa wachimbaji wadogo wanaofanya kazi zao kwenye kijiji cha Sambaru, kuondoka, haraka, bada ya hapo watakumbana na nguvu ya dola.
Mabiti amesema eneo hilo linalotoa madini ya dhahabu ni halali kwa mgodi wa kampuni ya Shanta, iliyotafiti na kupata kibali kwa kazi hiyo.
Alitoa karipio hilo juzi jumatatu, wakati akizungumza na wachimbaji hao katika viwanja vya kambi namba moja, kijijini Sambaru.
Alisema Shanta inayo leseni halali ya kutafiti na kuchimba dhahabu katika maeneo hayo, na amekamilisha maandalizi yote muhimu kwa ajili ya kuanza kazi ya mgodi.
“Tumezungumza sana na ninyi,tena mara nyingi sana na mazungumuzo hayo, nimekuwa nawaeleza kuwa, Shanta amewapa ruhusa kuchimba madini katika eneo hili kwa muda tu, Sasa muda huo umekwisha, mnatakiwa kuondoka kwa hiari yenu,”alisema.
Baadhi ya wachimbaji waliomba kuongezewa muda ili wahame eneohilo.
Huku wengine wakisema wazi hawapo tayari kuona wanaporwa maeneo yao, hivyo wameiomba serikali kuingilia kati malalamiko yao waliyodai sasa ni ya muda mrefu.
Walitoa tahadhari kupatikana suluhu, ili yaliyotokea mkoani Mara na Shinyanga yasijirudie mkoani Singida.
Na Elisante John


DC-Paschal%2BMabiti.JPG
Singida District Chief Paschal Biti speaking to the holder of the gold miners village of Sambaru district, where he gave three days until Friday this week to make sure they have left the area to kumpisha Shanta investor company.

Mchimbaji%2BGeorge%2BStevin%2Bakiuliza%2
Excavator George Stiven, on behalf of his begging waongezewe time to leave the area as decisions made ​​by government for kumpisha investor who expects to open the mine, after completing the research work of gold mining.
Askari%2Bwakidhibiti%2Bmkutano.JPG
Some of the riot squad soldiers who accompanied the prince of the district of Singida Paschal bits, while the location of the meeting, already control can endanger any breach of the peace

Singida
November 01.2011
Great Paschal bits Singida district has provided for the miners who work in their village of Sambaru, leave, quickly, when they met after the stronger dollar.
Biti said the area's gold mining plan is valid for the mine company Shanta, iliyotafiti and get approval for the job.
She was scolding yesterday Monday, when speaking to the miners in the grounds of the camp number one, remote Sambaru.
He said Shanta has a valid license to explore and dig gold in these areas, and has completed all necessary preparations for the start of work of mine.
"We have talked much with you, and very often these discussions, I've been telling that, Shanta has given permission to mining in this area for a short time, now time has come, you should leave it on your own," he said.
Some of the miners who requested the extension so that they fly eneohilo.
While some say clearly are not ready to see them robbed of their sites, so they asked the government to intervene complaints were yodai now is the time.
They expressed caution found peace, occurred to Mara and Shinyanga Region yasijirudie Singida region.
And Elisante John

Ili kuhariri tafsiri, lazima ufungue. Fungua · Jiandikishe

Historia ya tafsiri

Google Translate
10 Novemba, 2011
(image)...