Envaya

Translations: English (en): User Content: WI0007D6D106921000094963:content

Base (Swahili) English
jw2.jpg
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipokea seti ya vyombo vya nyumbani na taa inayotumia nguvu za jua toka kwa Mkurugenzi wa Home Shopping Centre Bw Gharib Saidi Mohamed ambaye kampuni yake imejitolea kugawa seti kama hizo pamoja na taa kwa kila familia 655 zilizohamishiwa Mabwepande baada ya kuathirika na Mafuriko katika bonge la Msimbazi. Bw Gharib pia ameahidi kujenga shule ya msingi ya eneo hilo pamoja na kituo cha polisi.
jw3.jpg
jw6.jpg
Rais Jakaya Kikwete na Mama Salma Kikwete wakioneshwa maeneo ya makazi mapya ya walioathirika na mafuriko katika bonde la Msimbazi walipotembelea eneo hilo leo.
Na Mwandishi Maalumu
Kampuni ya Home Shopping Centre (HSC) imeahidi kujenga kituo cha polisi, vyumba 14 vya madarasa ofisi za walimu na chumba cha kulia chakula kwa ajili ya waathirika wa mafuriko watakaohamia Mabwepande nje ya jiji la Dar es Salaam.
Mbali na ahadi hiyo HSC imetoa mifuko 2,000 ya saruji, vyombo vya ndani na taa za sola kwa familia zote 653 zitakazopatiwa makazi kwenye eneo hilo.
Hayo yalisemma leo na Mkurugenzi wa HSC Gharib Said Mohamed muda mfupi kabla Kamati ya maafa mkoani hapa kumkabidhi rais Jakaya Kikwete mahema 203 yaliyojengwa na Chama cha Msalaba Mwekundu Tanzania (TRCS).
Bw Gharib amesema kwamba shughuli za ujenzi wa vyumba vya madarasa, ofisi na jengo la kulia chakula vitakamilika katika kipindi cha miezi miwili kuanzia sasa.
“Kwa kweli mpaka sasa kwenye saruji, vyombo vya ndani na taa za sola tumetumia zaidi ya sh milioni 70 kuhusu ahadi ya ujenzi wa kituo cha polisi na shule mpaka sasa gharama yake hatujaijua hadi vitakapokamilika,” alisema Bw. Gharib.
Aliwaomba pia wadau wengine wenye nia ya kuwasaidia wananchi hao kujitokeza kwa ajili ya kuongeza nguvu kwenye maeneo mengine huku akisisitiza kwamba jukumu la kusaidua utekelezaji wa majukumu ya serikali kwa wananchi linawahusu wote.
Awali rais Kikwete aliitaka kamati ya Maafa inayoshughulikia waathirika hao kufikiria namna ya kuwapatia viwanja waliokua wapangaji kwenye nyumba zote zilizobomelewa kwa mafuriko huku akiitaka kamati hiyo kuwa makini katika ugawaji wa viwanja hivyo.
“Msipokua makini zoezi hili haliishi… mtaendelea kufanya hivi kila siku watajitokeza pia wasiostahili watakuja kudai viwanja,” alisema rais Kikwete muda mfupi kabla ya kukabidhiwa na kukagua mahema hayo.
Aidha Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) kwa kushirikiana na Chama cha Msalaba Mwekundu Tanzania (TRCS) watafanya usafi wa maeneo na kujenga mahema kabla ya waathirika hao kuhamia Mabwepande.
jw2.jpg
President Jakaya Mrisho Kikwete was received set of home appliances and lighting using solar power from the Director of Home Shopping Centre Mr Gharib Saidi Mohamed whom his company is committed to allocating a set like these and lighting for each family 655 relocated Mabwepande after being affected by floods in Msimbazi torch. Mr. Gharib also promised to build a primary school with the local police station.
jw3.jpg
jw6.jpg
President Jakaya Kikwete and Mama Salma Kikwete were shown the new residential areas affected by flooding in the valley of Msimbazi had visited the area today.
Special writer
Company Home Shopping Centre (HSC) has pledged to build a police station, 14 classrooms, office rooms for teachers and dining room for the flood victims will be moved Mabwepande the outskirts of Dar es Salaam.
Apart from that promise HSC has 2000 bags of cement, internal organs and solar lights for all the family settled on 653 zitakazopatiwa area.
That yalisemma today by Director of HSC Gharib Mohamed Said Committee shortly before the disaster region to hand over President Jakaya Kikwete 203 tents built and Tanzania Red Cross Society (TRCs).
Mr. Gharib said that the construction of classrooms, offices and buildings will end on the right food in the past two months from now.
"In fact until now in the saddle, internal organs and solar lanterns have spent more than 70 million sh on the promise of building a police station and school until we know the current cost to vitakapokamilika," said Mr.. Gharib.
She asked also other stakeholders who are committed to helping those citizens appear to increase the strength in other areas while stressing that the role of kusaidua implementation of the responsibilities of government to all citizens linawahusu.
Former President Kikwete has urged the committee dealing Disaster victims they consider how to give tenants the plots were growing up all the houses in the floods while zilizobomelewa urged the committee to be careful in the allocation of plots so.
"Msipokua careful exercise did you live ... it will do so every day they will appear too unworthy to claim plots," said President Kikwete shortly before the appointment to inspect these tents.
Either the United Revolutionary Youth Party (UVCCM) in collaboration with Tanzania Red Cross Society (TRCs) will make the area clean and build tents before they move Mabwepande victims.

In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
January 14, 2012
(image) President Jakaya Mrisho Kikwete was received set of home appliances and lighting using solar power from...