Base (Swahili) | English | |||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
TEYODEN yakamilisha shughuli ya ufuatiliaji wa shughuli za vijana katika vituo 7 vya vijana kati ya vituo 12 vya mradi manispaa ya Temeke.
TEYODEN ipo katika kipindi cha utekelzaji wa mradi wa kuinua ari ya uwajibikaji,ushiriki na ushirikishwaji wa vijana katika shughuli za kimaendeleo na za kijamii.Mradi huu unafanyika katika kata 12 za Manispaa ya Temeke.Katika robo hii ya kwanza ya mradi shughuli 2 zimefanyika ambazo ni utambulisho wa mradi kwa wadau wa maendeleo 26 Manispaa ya Temeke na Mafunzo ya stadi za maisha na sera ya maendeleo ya vijana ya mwaka 2007 kwa vijana 40,24 kutoka vituo vya vijana, 12 vya kata na 12 kutoka asasi za vijana na 8 taasisi nyingine zilizopo Manispaa ya Temeke.Taarifa hii inatoa picha halisi ya mwendelezo wa mafunzo ya stadi za maisha na sera ya maendeleo ya vijana kwa vijana wengine katika kata kama matokeo ya mafunzo yaliyoendeshwa na makubaliano ya waandaaji wawezeshaji na vijana 40 walioshiriki mafunzo hayo.Hii ni taarifa ya shughuli ya ufuatiliaji katika kata 7 ambazo ni:- Sandali, Azimio, Vijibweni, Somangila, Kimbiji, Charambe na Yombo vituka.
-Lengo la shughuli hiini kupata takwimu na taarifa za vijana juu ya usambazaji wa sera ya vijna na stadi za maisha kwa vijana wengine katika kata. Lakini pia kuweka mazingira mazuri ili vijana waweze kupokea jukwaa la vijana katika kata husika.
3. CHANGAMOTO ZILIZOJITOKEZA
Pamoja na madhaifu madogo madogo yaliyojitokeza kwa baadhi ya kata za mradi Yapo mafanikio makubwa yaliyotokana na mafunzo na shughuli za mradi.
Mpaka katika hatua hii ya mwanzo ya ufuatiliaji bado kulikuwa hakuna kisa mafunzo ha kusisimua kilichoweza kulekodiwa kutoka katika kata za lengwa za mradi lakini tunategemea kupata mengo kutoka katika kata hizo.
Zoezi la ufuatiliaji katika kata 7 za awali ni hatua moja kuelekea katika kumalizia kata nyingine 5 za mradi tunatemea zoezi hili litakamilika mpaka kufikia katikati ya mwezi februari hatua itayotoa picha halisi ya matokeo ya awali katika kipindi hiki cha robo ya kwanza ya mradi.Picha hii imetupa mafunzo makubwa katika kubadili mbinu na taratibu za mradi katika kipindi kijacho cha mradi na ni matumaini yetu makubwa kuwa mrdi utafanya vizuri katika kuzifanya ndoto za vijana kuwa kweli.Ni matumaini yetu kuwa kila ngazi itawajibika vya kutosha katika kuhakikisha ndoto ya mradi huu inakuwa kweli.
|
TEYODEN accomplish the monitoring activities of youth activities in youth centers seven of 12 stations Temeke municipal project.
TEYODEN utekelzaji located within the project to promote a sense of accountability, participation and involvement of youth in development activities and this kijamii.Mradi takes place in 12 wards of Municipal Temeke.Katika this quarter's first two project activities have been done which is the identity of a development project with 26 partners Temeke Municipality and life skills training and youth development policy in 2007 to 40.24 from young youth centers, 12 county and 12 from youth organizations and 8 other existing institutions Municipal Temeke.Taarifa this gives the real picture of the continuity of life skills training and policy development for other young teens in the county as a result of training conducted by agreement of the organizers, facilitators and 40 young people involved are trained to notice the activity yo.Hii monitoring in the seven wards which are: - Sandali, Declaration, Vijibweni, Somangila, Kimbiji, Charambe with songs uneasy.
-Objective The activity hiini access to data and information on the distribution of youth policy vijna and life skills with other teens in the county. But also conducive environment for youth forum for young people can receive in the county concerned.
|