Base (Swahili) |
English |
Tokea kwa kuanzishwa kwa shirika letu ni mwaka wa3 sasa tokea 2007. Ikiwa kuna watu 5 tu lakini sasa kuna wanachama zaidi ya 20 wametupa msukumo wa kuanzisha bodi ikiwa ni moja ya kufuata taratibu za serekali. Na kuachia bodi kupanga taratibtu zake za kiutendaji kupitia vikao vya kila mwezi.Shirika letu limesajiliwa na serekali tangu 2007 natulijitahidi sana kuwafahamisa vijiji nia yetu ni nn? lalituelewa na kuahidi kushirikiana mpaka tuna leta maendeleao katika ukanda wa mwambao nakua na wanachama wengi zaidi ilitufanikishe nia yetu ya kuleta maendeleo katika mkoa wetu wa Tanga pamoja na vijiji vyake Tumefanikiwa kutembelea vijiji vingi tu na MOA, KWALE, MANZA, KICHALIKANI Ambako ndio kuna makao makuu ya shirika letu.Tume wapa elimu yakutunza mazingira na kujiajiri mwenyewe kwa kutumia rasilimali za asili na kuku ingizia kipato.
|
Since the establishment of our organization is in wa3 now occur in 2007. If there are only 5 people but now there are more than 20 members have given us the inspiration to set up the board if one is to follow government regulations. And leave the board plan for managing taratibtu through our mwezi.Shirika sessions every government since 2007 limesajiliwa and very natulijitahidi kuwafahamisa villages is our intention nn? lalituelewa and pledged to cooperate until we have brought maendeleao in the zone of the shore, I'm with most members over ilitufanikishe our intention to bring development in our region of Tanga and villages Tumefanikiwa visiting many villages only and Moa, ONES, started, KICHALIKANI Where are there headquarters The organization gave letu.Tume yakutunza environmental education and self-employment yourself by using natural resources and importing poultry income.
|