| Asili (Kiswahili) | English | |||||||||
|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
|
Mbunge mteule kutoka Baraza la Wawakilishi Zanzibar,Mussa Khamis Silima, alipata ajali juzi katika eneo la Nzuguni, Dodoma, ambapo mkewe, Mwanaheri fahari, alifariki dunia na yeye na dereva wake kujeruhiwa vibaya na kukimbizwa hospital ya Muhimbili kwa matibabu zaidi Mwili wa mke wa Mbunge Mussa Khamis Silima, Hayati Mwanaheri, ukiombewa dua na Wabunge n waombolezaji wengine baada ya kuwasili katika Msikiti Mkuu wa Ijumaa mjini Dodoma leo kuswaliwa kabla ya kupelekwa Zanzibar kwa mazishi. Marehemu alifariki Jumapili jioni kwa ajali ya gari katika eneo la Nzuguni, nje kidogo ya mji wa Dodoma Mwili wa Marehemu ukiingizwa msikitini kuswaliwa kabla ya safari Gari la mafuta lililohusika katika ajali hiyo ambapo mfanyakazi wake anaonesha mahali ambapo gari dogo lililokuwa na marehemu na mumewe kugonga wakati likitaka kupita Mmoja wa mashuhuda wa ajali hiyo akimweleza mbunge wa Mafia, Mh Shah, kilichotokea Mbunge wa Mafia Mh. Shah akiliangalia gari dogo la Mh. Silima lilivyoharibika baada ya ajali hiyo
|
MP-elect from the House of Representatives in Zanzibar, Khamis Mussa Silima, had an accident yesterday in the Nzuguni, Dodoma, where his wife, Mwanaheri proud, he died and he and his driver badly injured and kukimbizwa Muhimbili Hospital for treatment The body of the wife of MP Khamis Mussa Silima late Mwanaheri, you prayed for a petition to Parliament n other professional mourners after arriving Friday in the Great Mosque in Dodoma today kuswaliwa before taken to Zanzibar for a funeral. Late Sunday evening, died in a car accident in Nzuguni area, outskirts of Dodoma Body of late been drawn mosque before the trip kuswaliwa Car oil lililohusika accident where a worker in his shows where the deceased was a small car and hit her while demanding too One eyewitness to the accident he told an MP from the Mafia, Mh Shah, happened Mafia MP Hon. Shah was observed a small car, Hon. Silima lilivyoharibika after accident
Ili kuhariri tafsiri, lazima ufungue. Fungua · Jiandikishe
|






