Envaya

Ubusobanuro: English (en): User Content: WI00011360DBECE000096564:content

Base (Igiswayire) English
Tell Congress: Please don't censor the web!
Kampuni kubwa zinazoendesha huduma za mitandao ya internet za Google na Wikipedia zimeaza leo kufanya mgomo wa kuishinikiza serekali kuzuwia muswada mpya ambao unatarajiwa kusomwa mwenzi Februari kwa ajili ya kudhibidi upatikanaji habari zinazopitia kwenye mitandao mbali mbali ya internet.
Miswada hiyo kulingana na kauli ya mkurugeni wa Wikipedia Jimmy Wales unaonyesha dhairi kabisa utaweka vikwanzo vikubwa sana kwa upatikanaji wa habari au usambazaji wa habari na utuaji huduma wa mitandao mbali mbali ya internet kwa watu duniani kote zikiwemo nchi masikini.
Miswada hiyo miwili inayojulikana kama SOPA (Stop Online Piracy Act) na PIPA (Protect IP Act) ndio miswada ambayo inapingwa na makampuni ya makubwa yanayotoa huduma za habari kupitia mtandao wa internet.
Kupitiswa kwa miswda hiyo kunaweza kusababisha watu wa nchi masikini hata nchi zilizo endelea kutopata habari mbali mbali kutokana na uhuru wa habari kudhibitiwa na kusababisha huduma mbalimbali zinazotolewa na makampuni makubwa kama GOOGLE ambayo hutoa huduma kama za blogs kupitia blogger.com kuwalazimu kuthibiti kila kinachoingizwa kupitia huduma blogs suala mbalo ni gumu sana na litateta athari za upatikanaji wa habari kupitia mitandao.
Miswada hiyo itakapopitishwa itawalazimu Google kuchuja habari ambazo zinaingizwa kupitia blogs zote, kutokana na sheria mpya. Pia upatikanaji habari kwa nchi masikini utakuwa hafifu kwa sababu wale wote wanaoendesha mitandao ambayo si mikubwa, kama vile blogs na website ambazo zinajiendesha kimasikini na malipo ya kima cha chini hazitoweza kuonekana tena kwenye mitandao ya Google.
Tell Congress: Please don't censor the web!
Giant zinazoendesha services internet networks of Google and Wikipedia zimeaza strike today to press the government to prevent a new bill that is expected to read a partner in February for kudhibidi zinazopitia access information on various internet networks.
Bills that according to the statement of Wikipedia Jimmy Wales mkurugeni shows quite evident you put vikwanzo enormously by the availability of information or the dissemination of information and deposition of networking services off the Internet for people worldwide, including the poor.
Bills of the two known as SOPA (Stop Online Piracy Act) and Barrel (IP Protect Act) are bills that inapingwa and large companies which render services for information through Internet.
Kupitiswa for miswda it may cause people of poor countries, even countries that are still not getting the information far away from freedom of information control and cause a range of services offered by big companies like Google that provides services such as blogs through blogger.com kuwalazimu control every kinachoingizwa through service blogs mbalo issue is very complicated and litateta impact of the availability of information through networks.
Bills inclusive so had to Google to filter information that is transmitted through all the blogs, because the new law. Also access for poor countries will be poor because those who run networks that are not large, such as blogs and website that zinajiendesha poverty and minimum payment zitoweza no longer appear on the Google networks.

Kugirango ugire icyo uhindura kubyo wasemuye, ugomba kwinjira mu rubuga Injira · Iyandikishe

Ibyasobanuwe

Google Translate
22 Mutarama, 2012
(image) Giant zinazoendesha services internet networks of Google and Wikipedia zimeaza strike today to press the government to prevent a new bill that is expected to read a partner in February for kudhibidi zinazopitia access information on various internet networks. Bills that according to the statement of Wikipedia Jimmy Wales mkurugeni shows quite evident you put...