(English below)
Sauti ya wakulima, "The voice of farmers" (http://sautiyawakulima.net), ni msingi wa kuelimishana ulioundwa na wakulima wa eneo la Chambezi Wilayani Bagamoyo-Tanzania. Msingi huu wa kuelimishana umeundwa kwa kukusanya ushahidi wa picha za shughuli zinazofanywa na wakulima kila siku na rekodi za sauti zao kisha kurekodiwa kwa kutumia ‘smartphones’ na kuchapishwa kwenye mtandao.
Washiriki wa Sauti ya wakulima ni kundi la wanaume watano na wanawake watano ambao hukusanyika kila Jumatatu katika kituo cha kilimo kilichopo Chambezi. Wao hutumia kompyuta ndogo iliyounganishwa na mtandao wa mawasiliana wa 3G ili kuona picha na kusikiliza sauti zilizorekodiwa na kuchapishwa kwenye mtandao kwa kipindi cha wiki hiyo. Wao pia hukabidhi ‘smartphones’ mbili zilizopo katka kikundi toka kwa washiriki fulani kwenda kwa washiriki wengine, ili nao waweze kuzitumia kama zana za mawasiliano kati yao. Smartphones hizi zimeunganishwa na vifaa vingine kama vile viunzi huru vya GPS na vibandiko vingine ambavyo kwa pamoja hurahisisha utumaji wa picha na sauti kwenye mtandao. Wakulima hawa wa Chambezi huzitumia ‘smartphone’ hizi kurekodi/kuratibu shughuli zao za kila siku, kutoa taarifa juu ya masuala yanayohusiana na mabadiliko ya hali ya hewa na pia kufanya mahojiano na wakulima wengine, hivyo kupanua mtandao wa mahusiano ya kijamii kati yao.
Mbali na kupambana na ubovu wa miundo mbinu/kutokuwa na miundo mbinu ya kutosha na na hali ya kutokuwa na masoko ya huhakika kwa ajili ya kuuzia bidhaa zao, wakulima wa Chambezi pia wanakabiliwa na changamoto za mabadiliko ya hali ya hewa. Pamoja na hayo, uhaba wa mvua, uhaba wa maji yanayopatikana chini ya ardhi na vitisho visivyo na kifani vivyosababishwa na wadudu na magonjwa ya mimea ni miongoni mwa masuala makubwa ambayo wakulima hawa wanalazimika kushughulikia. Hata hivyo, wakulima hawa wanatambua ya kuwa kwa kushirikishana maarifa wanayotumia katika kukabiliana na matatizo haya wanaweza kuwa na nguvu na kutafuta njia mbadala za kukabiliana nayo. Pia wakulima hawa wana matumaini kwamba, kwa kuwasilisha uchunguzi wao kwa maofisa ugani na watafiti wa kisayansi ambao wapo mbali nao wanaweza wakashirikiana nao katika kubuni mbinu mpya kwa ajili ya kukabiliana na hali hiyo. Wanataka sauti zao kusikika; wanayo mengi sana ya kuzungumza/kusema.
---
Sauti ya wakulima, "The voice of the farmers" (http://sautiyawakulima.net), is a collaborative knowledge base created by farmers from the Chambezi region of the Bagamoyo District in Tanzania by gathering audiovisual evidence of their practices using smartphones to publish images and voice recordings on the Internet.
The participants of Sauti ya wakulima, a group of five men and five women, gather every Monday at the agricultural station in Chambezi. They use a laptop computer and a 3G Internet connection to view the images and hear the voice recordings that they posted during the week. They also pass the two available smartphones on to other participants, turning the phones into shared tools for communication. The smartphones are equipped with GPS modules and an application that makes it easy to send pictures and sounds to the Internet. The farmers at Chambezi use them to document their daily practices, make reports about their observations regarding changes in climate and related issues, and also to interview other farmers, expanding thus their network of social relationships.
The farmers at Chambezi not only struggle because of insufficient infrastructure and unreliable markets for their products, but they are also facing the challenges of a changing local climate. Less rains, less underground water and unprecedented threats caused by pests and plant diseases are some of the pressing issues that they have to deal with. However, they know that by sharing their knowledge on how to cope with these problems, they can become stronger and find ways to overcome them. They hope that, by communicating their observations to extension officers and scientific researchers, who can be in remote locations, they can participate in the design of new strategies for adaptation. They want their voices to be heard: they have so much to say.
|
(Kiswahili below)
Voice of the farmers, "The voice of farmer" ( http://sautiyawakulima.net ), is based on thoughtful created by area farmers Chambezi Bagamoyo district-Tanzania. This foundation is designed to gather thoughtful photographic evidence of activities undertaken by farmers every day and then record their voices recorded using 'smartphones' and published on the web.
Members of Voice of the farmers is a group of five men and five women who gather every Monday at the Agricultural Center located Chambezi. They use a laptop computer connected to the network of 3G communication in order to see pictures and hear the sound recorded and published on the internet for the past week. They also handed 'smartphones' two existing earned in the group from certain participants to other participants, so that they can use them as tools of communication between them. Smartphones are connected to other equipment such as hurdles independent of GPS and other posts that together makes it easier to transfer pictures and sound on the Internet. These farmers are used Chambezi 'smartphone' these recording / coordinate their activities each day, providing information on issues related to climate change and also interviews with other farmers, thus expanding network of social relations between them.
In addition to anti-poor infrastructure / lack of adequate infrastructure and the lack of markets for the sake of selling their products, farmers Chambezi also faced the challenge of climate change. Nevertheless, the lack of rainfall, shortage of water available underground and non-play threat vivyosababishwa pests and plant diseases are among the major issues that these farmers are forced to deal with. However, these farmers are aware of that by sharing knowledge they use in dealing with these problems can be strong and find alternative ways of dealing with it. Also, these farmers are optimistic that, with presenting their observations for extension officers and research scientists who are far away from them they may cooperate with them in designing new strategies for dealing with the situation. They want their voices heard, they have a lot of talk / speak.
---
Voice of the farmers, "The voice of the farmer" ( http://sautiyawakulima.net ), is a Collaborative knowledge base created by farmer from the Chambezi region of the Bagamoyo District in Tanzania by gathering audiovisual Practices Evidence of using their smartphones to Publish images and voice Recordings on the Internet.
The participant of the voice of farmers, but a group of five and five women, gather every Monday at the Agricultural station in Chambezi. They use a laptop computer and a 3G Internet connection to view the images and hear the voice Recordings that they posted during the week. They also pass on the two smartphones available to other participant, the Phones Turning into shared tools for communication. The smartphones are equipped with GPS modules and an application that makes it easy to send pictures and Sounds to the Internet. The farmer at Chambezi use them to document their daily Practices, make reports about their observations regarding changes in climate and related Issues, and also to interview other farmer, thus expanding their network of social Relationships.
The farmer not only at Chambezi Struggle Because of insufficient infrastructure and unreliable Markets for their products, but they are also Facing the challenges of a Changing local climate. Less rain, less underground water and unprecedented threats caused by pests and plant diseases are read much of the pressing Issues that they have to Deal with. However, they know that by sharing their knowledge on how to COPE with these problem, they can Become stronger and find ways to overcome them. They hope that, by communicating their observations to Extension officers and Scientific researcher, who can be in remote locations, they can participate in the design of new strategy for adaptation. They want their voices...
|