Envaya

Translations: English (en): Latest comments

Internal IDBaseEnglishCommentTime Created
upload:photos:moreAdd More PhotosOngeza Picha ZaidiIPOKEE “MKUVI” ILI UFIKIE MALENGO ALLIANCE FOR SOCIAL CHANGE Ndugu “MKUVI” Ni kifupi cha maneno haya;- >>Mbinu mpya ya Kupambana na Umasikini Vijijini<< MKUVI itakufanya uwe na upeo mpana katika shughuli zako za maendeleo, binafsi na Taifa kwa ujumla. Usichelewe kuvutana na mtu au watu njoo jifunze kutoka hapo ulipo nanyi wengine jifunzeni kusonga mbele zaidi hakuna atakae kuja kukununulia mahitaji au kukutunzia familia usidanganywe jifunze mbinu ya kutoka karibuni sana, “ MKUVI” jifunze na A.F.S.C. huduma zetu soma mwongozo hapo chini;- Mradi huu nikwa wilaya Tano; 1.KILINDI. 2. MPWAPWA. 3. KONGWA. 4. KITETO. 5. KILOSA. May 4, 2017 by AFSC
WIZ6qqk0j3ValYIzSSHyp2Cv:content(image) – We were having funny and singing together with these children. What I have found out it that, children are talented, however development of that particular talent is needed.El-Gibbor now has a home for children. January 23, 2016 by EGF
WIU66weTOs02DZ5Oji1srTVs:contentndeleo ndani ya Wilaya na Nchi kwa ujumla. (5)- Kubuni njia zitakazoleta ufanisi katika vipengele vya hapo juu. (6)- Kuandikana kuzalisha habari zitakazosambazwa kwa Wananchi kupitia Maktaba za jamii.KAULI MBIU YA SHILIKA Elimu ni silaha ya kupimdua ulimwengu katika ujinga November 2, 2014 by Kasodefo2009
WI0003B4C11C30A000089267:contentAny Zanzibari aged over 18, who shall accept the Associational ideas.The teamZAPA has opened a new branch office to advance it's fficiencyOctober 12, 2014 by CHALAY
WI0009735566259000008543:contentKizito Bahati, Program Coordinator. – Francis Bonda, Treasurer of the Organization – Bernadetha Cyril, Technical DirectorAddo Antony Komba, Managing Director. Kizito Bahati, Program Coordinator. Francis Bonda, Treasurer of the Organization – Bernadetha Cyril, Technical DirectorSport is International Language which PSD speaksJuly 13, 2014 by psd
WIRYBwwRw9ufyjqOV4rJqSli:contentFruitful Orphanage Children Home – Fruitful Orphanage was established in 2014 and is dedicated to providing food, shelter and education to orphaned children in Arusha. Many children in Arusha have suffered displacement and continue to suffer losses, which have led us to commit to the ongoing and unmet needs of our community displaced to camps and resettlement communities within Tanzania. Fruitful Orphanage was conceived with a vision to create a peaceful society where...Helping the children who lost their hope to get their needs again.God will bless everyone who will be with us so as to fight against the problem which facing the world.May 24, 2014 by fruitfulorphanage
WIPk4cKhKj8T9MgPd1OajQQI:content(image) – Vijana wa Dira Goup waki cheza Lizombe.(image) – Vijana wa Dira Group waki katika mchezo wa kuigiza katika kufikisha ujumbe kwa jamii juu ya sera na sheria za ardhi. Katika igizo wananchi walipata kufahamu namna ya kutatua migogoro ya ardhi, aswa ile ya wakulima na wafugaji na inayo husu mipaka. Mabaraza ya ardhi ya kijiji yalipata fulsa ya kufahamu aina ya migogoro wanayo wajibika nayo.Dira group inajitaidi kuwafikia wana nchi wa vijiji vya ndani kabisa ambapo wengine ina wawia vigumu.March 13, 2014 by dtg
WIh9FQsfm9egBk1LWdKQ3BEk:contentAUDAX KYOMWENGE – Member – ATUPENDA MARTIN – Member – AYUBU ISSAC – Programme Officer: contact: +255789754678, e-mail:- ayubnet36@hotmail.com – LEONARD IFUNYA – SECRETARY OF THE ASSOCIATION – EDITH KASILIMA -...Ashirafu Kajuna -new member September 19, 2013 by WAKA
WIhyS0SsVl3zMWsDRHv1fXnF:contentWhat makes your organization a credible NGO? One that's worth funding, respected by the general public and recognized by the government? – According to research carried out by REPOA, about 60% of funding for NGOs in Tanzania comes from foreign donors and international NGO’s. Funding is one of the most important and sometimes stressful aspects of the work of NGO’s, and learning effective fundraising mechanisms is very important. – Do you have any...leo nahitaji watu wa kusaidiana kimawazo, na kifedha pale inapobidi naomba ushirikiano wako wewe mama, baba, kaka, mjomba na shangazi.maoni yako pia ni ya muhimu kuiendeleza nchi na wananchi wake kwa ujumlaSeptember 14, 2013 by jifunze
WI000CC355C3332000078656:content(image)NEYONE haijabaki nyuma katika kipindi hiki cha mchakato wa kuelekea upatikanaji wa katiba mpya, kupitia mradi wa FAHAMU ONGEA SIKILIZWA unaotekelezwa katika kata 10 za wilaya ya Newala vijana 200 wamefikiwa na kupewa mafunzo yaliyowafanya wafahamu kuhusu katiba ya sasa, watoe mawazo/maoni yao katika mchakato wa upatikanaji wa katiba mpya na pia waweze kusikilizwa na wadau husika ili kupata katiba yenye kukidhi mahitaji ya Taifa la sasa.June 25, 2013 by NEYONE