Envaya
Parts of this page are in Swahili. Edit translations

1.Tosa inafanya kampeni za vita dhidi ya malaria kwa kutoa elimu kwaenye shule za msingi na sekondari ,zahanati ,vituo vya afya na jamii kwa kushirikiana na wahudumu wa afya wa kujitolea (wakala wa mabadiliko ya tabia ) katika kata zote wilayani nyamagana kwa kushirikiana na madiwani.watendaji wa kata,watendaji wa mitaa,waalimu na wafanyakazi wa idara ya afya kwenye zahanati na vituo vya kutolea huduma.

2.Tosa inahamasisha wajawazito kuwahi kilinki mapema wanapojijua wana mimba ili kupata huduma na vipimo kama inavyoonyeshwa kwenye kadi ili kupunguza vifo vya wajawazito.

3.tosa inatoa sare na karo za shule kwa wanafunzi wa shule za msingi na sekondari.

4.Tosa inatoa elimu ya ujasiriamali kwa wajane

 

 

November 5, 2012
« Previous

Add a comment

Your name:
Your location:
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.