Envaya

T.M.L.O huigiza kama chombo cha mawasilianobaina ya watu wanyonge,wasiojiweza katika jamii na ofisi,idaraa au hata serekali  ili kuwasaidia kuweza kufanikiwa katika mambo yao ambayo unyoge au kutokujiweza  unge wafanya kutofanikiwa.Tafadhali tunaomba UWAPATIE watu wa namna hii mawasiliano yetu ili tuweze kuwasaidia.Shukrani!  Kwa sasa tuko Dar tu.

26 Februari, 2012
« Iliyotangulia Ifuatayo »

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.