Parts of this page are in Swahili. Edit translations
Katika utafiti Tunaoendelea kuufanya ,tumegundua masuala mbali mbali katika kundi la wanawake walioko pembezoni na kugundua kuwa ,ili wanawake tuweze kushika hatamu na kuleta mabadiliko ya kweli ni lazima tuyajumuishe makundi ya wanawake yaliyoko pembezoni.
July 28, 2012
Comments (2)
Nawapongeza Tawa kwa kusema ukweli kwani makundi mnayoyataja yapo lakini watanzania tunajifanya hatuyajui.