Envaya
Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Icyongereza. Edit translations

Je, Unaelewa nini kuhusu ugonjwa wa Saratani/kansa?

Tanzanian Cancer Society - Tacaso
28 Ugushyingo, 2014 at 13:33 EAT

Ugonjwa huu kwa wengi ni ngumu kuuelezea. Kwani imani potofu na kukosa elimu sahihi hupelekea kila mtu kuwa na mtazamo wake binafsi.

Tungependa kusikia unaufahamu vipi au umeusikia ni ugonjwa wa aina gani na tiba yake ni nini?


Andika ubutumwa (Hisha)

Izina ryawe:
Aho uherereye
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.