Mkurugenzi wa Asasi ya SWOLO akiongea na wazee wa kata ya Talatala wilayani Kyela kuhusu huduma zitolewazo na Asasi hiyo ikiwa ni pamoja na ushawishi na utetezi wao ili waweze kuishi maisha ya amani na furaha.
22 Januari, 2012
Mkurugenzi wa Asasi ya SWOLO akiongea na wazee wa kata ya Talatala wilayani Kyela kuhusu huduma zitolewazo na Asasi hiyo ikiwa ni pamoja na ushawishi na utetezi wao ili waweze kuishi maisha ya amani na furaha.