Parts of this page are in Swahili. Edit translations
Mkuu wa Wilaya ya Kyela Bib Magreth Malenga akiwa katika sherehe ya wazee iliyofanyika katika Kata ya Busale kijiji cha Lema wilayani Kyela
Mkurugenzi wa Asasi ya SWOLO akiwa na wajumbe wa Baraza la wazee katika kijiji cha masoko wilayani Kyela hadi sasa mabaraza ya wazee katika vijiji 103 kwa ngazi ya vijiji na mabaraza 10 kwa ngazi ya kata yameundwa ikiwa ni pamoja na takwimu za wazee wote kwa majina zimeandaliwa. Shughuli yote hii imewezeshwa kwa msaada mkubwa wa The Foundation for Civil Society Tanzania