Mkurugenzi Mtendaji wa Pwani-DPA bW. mATHEW cHUNGU, akitoa Tshirt kwa Mkuu wa Wilaya ya Kibaha Bi. Halima Kihemba kama sehemu ya Kufikisha ujumbe kwa Jamii kuhusu umuhimu wa Kinga na Tiba sahihi ya Ugonjwa wa Malaria kwenye kilele cha mbio za Mwenge Julai, 2010 Wilayani Kibaha
25 Machi, 2011