Envaya
Parts of this page are in Swahili. Edit translations

large.jpg

Mkurugenzi mtendaji Mr Adam Robert-kitaaluma ni mwanasheria(aliesimama)akiwa katika mdahalo wa musuada wa katiba akiwasilisha mapendekezo ya AZAKi -kwa wananchi Jijini Mwanza-

large.jpg

wananchi wakiwa makini kuitia musuada wa mchakato wa katiba Jijini Mwanza

large.jpg

waandishi wa habari wakichukua maoni ya wananchi wakati wa mdahalo-wa musuada wa katiba-Jijini Mwanza

large.jpg

baadhi ya wadau wakimsiliza Mkurugenzi wa PRLA wakati wa mdahalo wa mchakato wa musuada wa katiba -Jijini Mwanza