Envaya

Hali ya migomo na maandamano katika nchi yetu.

PHAERA (BUGURUNI, ILALA)
8 Juni, 2011 12:25 EAT

Kimsingi, sasa hivi hali ya migomo na maandamano katika nchi hii ni ya kila kukicha ukilinganisha na wakati wa nyuma. Hii ni kwa sababu ya kudolola kwa huduma za jamii kwa jamii na kukiukwa kwa haki za binadamu.


Ongeza Ujumbe Mpya (Ficha)

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.