Envaya
Maeneo ya ukurasa huu ni kwa Kiingereza. Hariri tafsiri

MJASIRIAMALI NA MFANYABIASHARA

MZALENDO CHILD CARE & NURSERY SCHOOL KIBENA NJOMBE (NJOMBE)
10 Februari, 2017 07:01 EAT

HIVI KUNA UTOFAUTI GANI KATI YA MJASIRIAMALI NA MFANYABIASHARA?

 

AHADI MWAKANIEMBA (SINGIDA)
16 Mei, 2019 22:52 EAT

Mfanya biashara ni mtu anayenunua bidhaa au huduma kwa bei ndogo na kuuza kwa bei kubwa ili apate faida kutokana na fedha aliyowekeza kama mtaji. wakati Mjasiliamalia ni mtu jasiri anayetafuta fursa na kuwekeza mtaji wake katika kuzalisha bidhaa au huduma ili kukidhi na kutatua mahitaji ya watu.


Ongeza Ujumbe Mpya

Karibisha watu kushiriki