Envaya

MJASIRIAMALI NA MFANYABIASHARA

MZALENDO CHILD CARE & NURSERY SCHOOL KIBENA NJOMBE (NJOMBE)
February 10, 2017 at 7:01 AM EAT

HIVI KUNA UTOFAUTI GANI KATI YA MJASIRIAMALI NA MFANYABIASHARA?

 

AHADI MWAKANIEMBA (SINGIDA)
May 16, 2019 at 10:52 PM EAT

Mfanya biashara ni mtu anayenunua bidhaa au huduma kwa bei ndogo na kuuza kwa bei kubwa ili apate faida kutokana na fedha aliyowekeza kama mtaji. wakati Mjasiliamalia ni mtu jasiri anayetafuta fursa na kuwekeza mtaji wake katika kuzalisha bidhaa au huduma ili kukidhi na kutatua mahitaji ya watu.


Add New Message

Invite people to participate