PRETTY DEVELOPMENT FOR POVERTY REDUCTION (PDPR)
S.L.P 430, Njombe, Simu: 0754397178, 0652556833,
Barua pepe: pdprngo@gmail.com, Tovuti: www.envaya.org/pdpr
Mkurugenzi Mtendaji wa PDPR,
No ya Fomu: ...... .. Tarehe: …./…./2016
FOMU YA AWALI YA MAOMBI YA UWAKALA WA CHAKULA:
Maelezo binafsi na mawasiliano:
Jina: ……………………………………………………Umri ……………….Mkazi wa ……………………………………………………………
Simu: ………………………………………………….barua pepe …………………………………sahihi …………………………
Shughuli zako kuu …………………………………………………………………………………………………………………………………. kiwango cha elimu………………………….....................................................................................
Una uzoefu wa ………………………………………………………………………………….. kwa miaka ………………
Unafuga kuku wangapi ……… toka mwaka gani …………………….. ……………………………………..
Upo katika vikundi cha ufugaji au kiuchumi, …………… vitaje ……………………………………. toka …………
Umeoa au kuolewa …………………………………………………………………
Sehemu ya Biashara:
1) Una uzoefu wa biashara ya chakula cha kuku kwa muda gani? ……….. na wapi …………………..
2) Ni wakala wa kampuni gani la chakula na umeingia nao mkataba? ……………… …………… ……… wa muda gani ……………….....................................................................................................
3) Biashara yako imesajiliwa …………………………… kwa jina gani ………………………………………………….. toka mwaka gani ………Inajihushisha na nini …………………………………………………………………………..
4) Biashara inamilikiwa na nani …………………………………………Ina mtaji wa kiasi gani …………………. Madeni ………………… wadaiwa ………………………………………….
5) Changamoto za biashara yako ni zipi …………………………………………………………………………………… na umejipangaje kuzitatua …………………………………………………………………………………………………..
6) Unategemea PDPR ikusaidie nini katika biashara yako ya chakula cha kuku ………………………… ……………………………………………………………………………………………………………………………………………….
7) Weka annuani ya Biashara na mahari ilipo……………………………………………………………………………..
Sehemu ya Chakula cha PDPR.
1) Unategemea kuuza mfuko wa chakula wa KG 50 shingapi kama utauziwa na PDPR kwa 29000 ukiwa Njombe …………….. na Tsh: 34000 ukiwa dar ………………….
2) Wateja walengwa wako ni nani …………………………………………………………………………………………
3) Kwa mwezi unauwezo wa kuuza mifuko mingapi ………………………………………………………………
4) Aina ipi ya chakula ina uhitaji mkubwa hapo…………………………………………………………………….
5) Umepanga kuwekeza kiasi gani cha mtaji katika biashara hii ya PDPR ……………………………..
Sehemu ya ziada:
1) Una miliki chombo cha usafiri kitaje ……………………….. na kitatumika na biashara …………………
2) Una chumba cha duka (Fremu) …………… kama huna utauzaje ………………………………………..
3) Duka au chakula utauza wewe?…………. Kama kuna msaidizi mtaje ……………………………………. Na ana uzoefu gani ……………………………………………………………………………………………………………………..
4) Chakula cha Kampuni gani kinanunuliwa kwa wingi katika eneo lako ……………………………….. kinauzwa shingapi ………… na unahisi kwanini kina soko kubwa ………………………………………………….
5) Utatumia mbinu gani kukiingiza sokoni chakula cha PDPR …………………………………………………… ..........……………………………………………………………………………………………………………………………………………………
6) Unapenda kuishauri nini Asasi ya PDPR katika mradi wa chakula cha kuku…………………… …… …………………………………………………………………………………………………………………………………………………..…........
…………………………………………………………………………………………………………………………………………………….........
KWA MATUMIZI YA OFISI TU:
Imepokelewa na ……………………………………………….. kwa niaba ya PDPR sahihi……………………………………
Cheo ……………………. Tarehe …………………….
Maelezo ………………………………………………………………………………. ………………………… ……………… ... ……… …………………………………….………………………………………………………………………………………….…………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………............
Zingatia:
Majibu Utakayo yajibu katika fomu hii yatasaidia kukufanya uweze kuendelea au laa na hatua za mbele za kujaza fomu nyingine na kisha kuingia mkataba wa kusambaza chakula cha PDPR.
Ibitekerezo (4)