Katiba
Charles kiwesi (Dar es salaam)April 28, 2012 at 1:22 AM EAT
Ndugu zangu watanzani naomba tuwe makin na suala hili la katiba,katiba ndio jibu la matitizo shida na kalaha 2lizo nazo tuwe wazi waaminifu tunapoijenga katiba yetu maana hii inamuhusu kila mmoja katika idadi yetu ya watu mil45 natuijenge katiba kwa moyo
Charles kiwesi (Dar es salaam)June 2, 2012 at 2:19 PM EAT
@Charles kiwesi (Dar es salaam):