Envaya
Parts of this page are in Swahili. Edit translations

large.jpg

Vijana wote waliwezeshwa kwenye semina na wawezeshaji wetu na baadae ilifika zamu ya majdiliano na kisha kuwasilisha majdiliano lakini kijana huyu alichokifanya ni kuelezea haki za watoto kama muwezeshaji na kumbuka ni Darasa la Nne lakini uelewa wake ni mkubwa sana na alikuwa anauliza maswali kama mtu mzima

April 17, 2012
« Previous Next »

Add a comment

Your name:
Your location:
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.