Injira
Mzizi Cultural Troup

Mzizi Cultural Troup

Iringa, Tanzania

Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Igiswayire. Edit translations

Je sheria sheria ya ndoa ina mtendea haki kijana?

Mzizi Cultural Troup
2 Kanama, 2012 at 18:21 EAT (edited 2 Kanama, 2012 at 18:26 EAT)

sheria zetu napata shida kuzizungumzia, wakati katiba ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania inamtambua mtoto kuwa ni yule aliye chini ya miaka 18. serikali inaendelea kuhimiza uundwaji wa sera na sheria zinazomlinda mtoto kwa mujibu wa mikataba ya kimataifa. chakushangaza sheria hii ya ndoa inatoa ruhusa kwa mtoto kuolewa chini ya umri wa miaka 18 kwa idhini ya wazazi wake. Je huku ni kumtendea haki kijana??


Andika ubutumwa (Hisha)

Birashakisha...
Izina ryawe:
Aho uherereye
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.