22 Gicurasi, 2012 at 21:41 EAT (edited 22 Gicurasi, 2012 at 21:42 EAT)
Walimu wote wa shule za sekondari Manispaa ya Mtwara wamekigomea chama cha walimu Tanzania(CWT)! Walimu hao wamekigomea chama hicho wakidai makato makubwa hali inayowaongezea ugumu wa maisha! Je, ni sawa?