Fungua
MTWARA YOUTH ANTI AIDS GROUP

MTWARA YOUTH ANTI AIDS GROUP

Wilaya ya Mtwara , Tanzania

MYAAG inakusudia kuwezesha mafunzo ya ujasiliamli kwa kamati za mtaa za kuhudumia watoto waishio katika mazingira hatarishi.  mafunzo yatafanyika kuanzia mwezi juni 2011.

Myaag inakusudia kuendesha mafunzo ya matumizi sahihi ya kondomu kwa jamii kupitia maeneoya Bar, kuanzia majira ya saa 1;00 na kuendelea. 

Jina la mradi SALAMA NIGHT.  Mradi utatekelezwa kuanzia mwezi juni 2011.

18 Mei, 2011

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.