Injira
Jumuiya Endelevu Bagamoyo

Jumuiya Endelevu Bagamoyo

Bagamoyo, Tanzania

Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Igiswayire. Edit translations

FCS Narrative Report

Introduction

Jumuiya Endelevu Bagamoyo
JEBA SOCIETY
Kuwajengea uwezo viongozi wa vikundi vya kijamii kwa kutoa elimu ya utaawala bora juu ya uwazi na uwajibikaji.
FCS/MG/2/09/019
Dates: 22-25 na 15-18 Quarter(s): Robo mwaka ya 2, Mwaka 2011 (Kutoka mwezi April Hadi Juni)
SWEETBERT MUSHOBOZI
JEBA SOCIETY
S.L.P 85
BAGAMOYO

Project Description

Governance and Accountability
Kutoa elimu kwa viongozi wa vikundi vya kijamii vya wakulima na wafugaji juu ya uwazi na uwajibikaji kuhusu rasilimali za umma.
RegionDistrictWardVillagesTotal Beneficiaries
PwaniBagamoyoDunda, Yombo, Zinga, Lugoba, Miono, Msata, Vigwaza, Mkange na Kibindu Kikaro,Miuga,Mandela,Kwaikonje,Magomeni,Dunda,Miono,kidozelo na Mboga380
 Direct BeneficiariesIndirect Beneficiaries
Female220440
Male160 320
Total380760

Project Outputs and Activities

1.1Wanajamii wa kata za Dunda, Yombo, Zinga, Lugoba, Miono, Msata, Vigwaza, Mkange na Kibindu wamepata uelewa juu ya utawala bora ifikapo 2011.



1.2Wananchi wa kata za Dunda, Yombo,Zinga,Lugoba,Miono,Msata, Vigwaza,Mkange na Kibindu wameelimishwa juu ya utawala bora na uwajibikaji ifkapo 2011.


1.1.1Kutambua washiriki wa mradi katika kata 9 za Dunda, Yombo, Zinga, Lugoba, Miono, Msata, Vigwaza, Mkange na Kibindu ifikapo Novemba 2009.
1.1.2 Kuendesha Semina ya utawala bora kwa siku 4 kila katika kata za Dunda, Yombo, Zinga, Lugoba, Miono, Msata, Vigwaza, Mkange na Kibindu, kila Kata washiriki 60 ifikapo mwaka 2010.
1.1.3Kuendesha mikutano 27 ya Umma ya uhamasishaji kwa kila mwaka mikutano 9 na kila kata mikutano 3 ifikapo Juni 2011.
1.1.4
1.2.1 Kuendesha warsha, Makongamano ya utawala bora kwa viongozi wa vikundi vya kijamii vya wakulima na wafugaji kuhusu ushirikishwaji wa kuweza kupata taarifa za maendeleo ifikapo 2011.
1.2.2 Kuendesha mikutano 2 kwa viongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo na wananchi kuhusu kuweka mifumo imara ya mawasiliano.
1.2.3 Kuendesha mikutano ya Umma ya uhamasishaji kupitia mikutano ya kila mwezi ya vijiji na ratiba za magulio ifikapo 2011.
Kuendesha semina kwa viongozi wa vikundi na watendaji wa vijiji/Kata na wah. Madiwani katika kata ya Kibindu na Dunda. Tarehe 22 -25/02/2011 kata ya Kibindu na tarehe 15-18/03/2011 katika kata ya Dunda. Jumla wote ni washiriki 110. me 65 na ke 45.



Semina ya utawala bora iliendeshwa kwa siku 4 katika kata sita kwa mwaka wa kwanza 2010, ambazo zilikuwa ni Dunda, Zinga, Vigwaza, Lugoba, Msata na Miono. Jumla ya washiriki 380 walipata mafunzo ya utawala bora, Me 160 na Ke 220.



Mikutano kumi na tano ya umma ya uhamasishaji imefanyika katika kata tano za Miono, Dunda, Vigwaza, Msata na Mkange kufikia Juni 2011. Jumla ya watendaji wa mtaa na Kata 70 walihamasishwa.












Hakuna
Tayari tumendesha mkutano mmoja kwa viongozi wa Halmashauri ya Bagamoyo na wananchi na kuweka mifumo imara ya mawasiliano.



Mikutano imeanza kufanyika kupitia kwenye magulio ya kila mwezi ya vijiji. Hadi mwezi Juni 2011 tumehamasisha katika magulio ya kijiji cha Miono, Dunda na Lugoba.
Hakuna





Hakuna




Hakuna


Shughuli hii bado haijafanyika, kwa sababu mradi uliaza kutekelezwa rasmi Jan. 2010 badala ya 2009 kama ilivyokuwa imetegemewa wakati wa kuandika andiko la mradi.




Hakuna




Hakuna


6,387,500=.





113,000/=







Hakuna




2,200,000/=




Hakuna

Project Outcomes and Impact

Semina ya utawala bora iliendeshwa kwa siku 4 katika kata sita kwa mwaka wa kwanza 2010, ambazo zilikuwa ni Dunda, Zinga, Vigwaza, Lugoba, Msata na Miono. Jumla ya washiriki 380 walipata mafunzo ya utawala bora, Me 160 na Ke 220.



mikutano kumi na tano ya umma ya uhamasishaji imefanyika katika kata tano za Miono, Dunda, Vigwaza, Msata na Mkange kufikia Juni 2011. Jumla ya watendaji wa mtaa na Kata 70 walihamasishwa.



Kumekuwepo na uwazi baina ya viongozi wa kata, watendaji wa kijiji na jamii kwa ujumla
Taarifa za mapato na matumizi zimewekwa katika mbao za matangazo
Idadi ya wananchi kuhudhuria mikutano ya vijiji na vikundi imeongezeka
Jamii imeweza kuhoji matumizi na mapato ya fedha ndani ya kijiji
utunzaji wa kumbukumbu na mahesabu kwenye vikundi kumeonezeka
Ni baada ya kupata mafunzo ya utawala bora juu ya uwazi na uwajibikaji yaliyohusisha viongozi wa pande zote kati ya watendaji wa kata, vijiji na viongozi wa vikundi vya kijamii vya wakulima na wafugaji

Lessons Learned

Explanation
1. Jamii ya watu wa Kibindu kwa ujumla wake hawajui namna ya kuwatumia wataalam na fursa zilizo
wazunguka katika maeneo yao. Mf: Misitu, na ardhi nzuri inayofaa kwa
kilimo lakini makazi yao ni duni mno. Halmashauri ilileta Trecta kijijini hapo ili wananchi
waweze kuongeza kilimo kwa kupanua mashamba yao, lakini Trecta walikataa kulitumia
walisema kuwa eti inatifua kama NGIRI
Kata ya Kibindu vitendo vya kishirikina vimeshika hatamu sana. Hii inatokana na kile tulichoelezwa kuwa watu wa Kibindu wanashindwa kujenga nyumba bora na kuanzisha biashara kwa hofu ya kupigwa ZONGO (Kulogwa).
3. Katika Kata ya Kibindu wananchi wana mwitikio mkubwa sana kwenye mambo ya semina
na warsha, lakini hawana mwitikio katika shughuli za maendeleo ya vijiji vyao. Mf: Kuna
jengo moja kijiji cha Kibindu lilianzishwa mwaka 2007 kwa msaada wa SIDO ili wanakijiji
waletewe mashine ya kusindika unga wa muhogo. Lakini hadi hivi leo limebakia pale pale
ulipoishia msaada wa SIDO. Wananchi hawana moyo wa kujitolea na kujituma kwa ajili ya
maendeleo yao. Jambo wanalipokea vizuri lakini mwisho wa siku wanaliachia pale pale bila
kuanza kulitekeleza. Mhe Diwani ndugu Komu wa kata ya Kibindu alitoa falsafa ya U – 3
kwa maana ya Utambuzi, Uchambuzi na Utekelezaji. Alimalizia kwa kusema kwamba
wananchi wake mambo mawili ya mwanzo wanayajua isipokuwa hilo la tatu la utekelezaji
ndio mgogoro ulipo.
Viongozi wengi wako katika nafasi za uongozi lakini hawana mafunzo maalum ya uongozi na utawala bora.
Vikundi vingi vinajiendesha bila ya kuwa na dira, dhamira na malengo ya pamoja. Vikundi vingi havina katiba.
Ilibainika kuwa katika kata ya Kibindu hakuna utawala wa sheria unaowabana wenyeviti wa vitongoji na kuwazuia wasiuze ardhi vijijini.

Challenges

ChallengeHow it was overcome
1. Vijiji vingi vya kata ya Kibindu viko mbali sana na kata ni kilomita 90 kutoka makao makuu ya Kata ambapo mafunzo yalikuwa yakiendeshwa. Washiriki walihitaji walipwe nauli ya kwenda na kurudi shs 15,000/=.Ilibidi mratibu wa mradi na viongozi wengine wa Jeba tuwafahamishe kuwa tangu mwanzo wa kubuni na kuandaa mradi hatukutegemea kuwa hali ya usafiri kutoka huko vijijini itakuwa ngumu kiasi hiki. Hivyo tunawaomba wenye kuwa na ndugu hapa Kibindu mjibane hadi siku nne za mafunzo haya. Pia mkataba tuliosaini na wafadhili wetu The Foundation hauna Nauli wala Posho ya kujikimu kwa washiriki, ila unasema washiriki watapewe posho ya chai na chakula na sio kupewa pesa mkononi.
Kata ya Kibindu haina maji safi na salama, ni maji ya visima yenye chumvi chumvi.
Ilibidi tukubaliane na hali halisi ilivyo pale kijijini, tutumie maji ya chumvi kuogea naya ya kunywa tulinunua dukani.
Katika kata ya Kibindu ukumbi ulikuwa mzuri ila tatizo ofisi ya kata na kijiji haina huduma ya vyoo. Uongozi wa Serikali ya kijiji cha Kibindu ilibidi uombe huduma ya choo kwa nyumba ya jirani ili washiriki wajihudumie hapo kwa hizo siku nne za mafunzo.
4. Walengwa wa mafunzo waliitajika viongozi
wa vikundi vya kijamii wakulima na
wafugaji, Watendaji wa Vijiji na Kata. Lakini siku ya
mafunzo walifika na wenyeviti wa Vitongoji
na Vijiji.
Tuliwaeleza wajumbe wote kuwa mradi huu unalenga hasa Viongozi wa vikundi vya kijamii vya wakulima na wafugaji na watendaji Kata na Vijiji tu. Hivyo tunawaomba kama wewe si miongoni mwa waliotajwa na kupewa mwaliko wa kuhudhulia mafunzo haya tuliwaomba warudi nyumbani.
Mjumbe kutoka kata ya Kibindu alilamikia uwepo wa mazingira ya rushwa katika vikundi vya kupewa misaada na ruzuku za maendeleo mfano ruzuku ya msaada iliyotolewa na shirika la CVM.Afisa kilimo na Mtendaji wa Kata ya Kibindu walijitetea kuwa wao nao walitumiwa majina kutoka katika ofisi ya Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya. Hivyo Kata haikuhusika kuteua wala kuchagua majina ya watu watakaopewa mkopo huo.

Linkages

StakeholderHow you worked with them
Ofisi ya Mkurgenzi ya halmashauri ya wilaya BagamoyoAlitoa barua kuwaagiza watendaji wa kata na vijiji kushiriki kikamilifu katika mradi unaotekelezwa na shirika la JEBA katika kata zao.
Watendaji wa vijiji katika kata zote kunakotekelezwa mradiWalishiriki mafunzo ya utawala bora kwa siku zote nne mfululizo katika kata na kwenye vijiji husika
Vikundi vya CAREWawakilishi kutoka katika vikundi hivyo walitoa uzoefu namna ya kuhifadhi fedha na jinsi ya kuzitumia na kurejesha
Ofisi ya mkuu wa wilaya BagamoyoAlikuwa akitufungulia semina zetu na kuweka msisitizo kwa waheshimiwa madiwani kufuatilia kwa makini mafunzo yanavyoendeshwa na kuyafanyia kazi.

Future Plans

Activities Planned1st Month2nd Month3rd Month
Kuendesha semina ya utawala bora kwa siku nne (4) katika kata ya Zinga na Msata.
Maafisa 2 watendaji wa mradi kufanya ufuatiliaji na kukusanya takwimu katika kila ofisi ya kijiji kwenye kata za Msata na Lugoba.
• Kuandika ripoti ya utekelezaji mradi (ripoti ya robo) na nakala kuzituma kwa wadau ambao ni The Foundation for Civil Society (FCS), ofisi ya Mkurugenzi mtendaji (W) Bagamoyo, ofisi ya Mkuu wa Wilaya na katika kila ofisi ya kijiji na kwenye kata za Zinga na Msata.

Beneficiaries Reached

    Direct BeneficiariesIndirect Beneficiaries
WidowsFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
People living with HIV/AIDSFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
ElderlyFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
OrphansFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
ChildrenFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
DisabledFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
YouthFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
OtherFemale220440
Male160320
Total380760
(No Response)

Events Attended

Type of EventWhenLessonsActions Taken
Mafunzo ya usimamizi wa ruzuku2009Namna ya kutumia fedha wakati wa kutekeleza mradi
Jinsi ya kuandika ripoti ya maendeleo ya mradi na ya fedha kila robo ya mwaka
tumefundishwa ,tumeelewa na tunaendelea kufanyia kazi mafunzo hayo
Organization Development(OD)2010Namna ya kusimamia malengo ya shirika na mipango mikakatitunaendelea kusimamia mipango ya shirika kadiri ilivyowekwa ndani ya katiba na sheria ndogondogo zinazowekwa na kamati ya utendaji ya JEBA

Attachments

« Inyuma

Tanga igitekerezo

Izina ryawe:
Aho uherereye
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.