Log in
MTWARA NON GOVERNMENTAL ORGANIZATION NETWORK

MTWARA NON GOVERNMENTAL ORGANIZATION NETWORK

Mtwara Mjini na Vijijini, Tanzania

Parts of this page are in Swahili. Edit translations

MATANGAZO

  1. MTWANGONET inawatangazia viongozi wote wa ASASI kuleta mipango kazi ya Asasi zao katika ofisi ya MTWANGONET ili iweze kujumuishwa na ya Manispaa, mwisho tarehe 10/8/2011. kwa maelezo zaidi fika ofisini MTWANGONET siku na saa za kazi.
  2. Pia MTWANGONET inawatangazia viongozi wa Asasi zote kuja na kusoma tangazo kutoka T-MACK lililo katika mfumo wa barua, tangazo linataka asasi zinazotaka kuwa asasi kiongozi wa mradi wa FAMILY MATTERS mkoa wa Mtwara na Luvuma waombe, tarehe ya mwisho ni 29/07/2011 kwa maelezo zaidi fika ofisini MTWANGONET siku na saa za kazi.
  3. Wanachama wote ambao bado hamjamaliza au mnadaiwa ada za uanachama mnakumbushwa kulipa kama katiba inavyotaka.
July 23, 2011
« Previous

Comments (1)

TUNAWASHUKURU WADAU WOTE WANAOWEZESHA TOVUTI HII KUFANYA KAZI
July 23, 2011

Add a comment

Your name:
Your location:
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.