MTWANGONET imeanza kufanya Ufuatiliaji na Tathimini katika miradi yake kwa Azaki wanachama wa Mtwangonet, tunakaribisha maoni na mapendekezo ili kuboresha shughuli hii, Azaki wanachama mnaombwa kutoa ushirikiano wa kutosha kwa maafisa wetu wa ufuatiliaji na Tathimini.
4 Juni, 2011
Maoni (1)