Envaya

ZIJUE FAIDA ZA MTOPETOPE

i. Miti huu huweza kupandwa na kustawi sehemu kubwa ya nchi yetu

ii. Uvunaji na matumizi ya majani ni wa gharama nafuu, rahisi na pia ni rafiki wa mazingira

iii. Ina uwezo wa kuua viluilui vya mbu wasambazao ugonjwa wa malaria, matende, mabusha na homa ya manjano kwa wingi na kwa muda mfupi

2 Mutarama, 2014
« Inyuma Ahakurikira »

Tanga igitekerezo

Izina ryawe:
Aho uherereye
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.