ZIJUE FAIDA ZA MTOPETOPE
i. Miti huu huweza kupandwa na kustawi sehemu kubwa ya nchi yetu
ii. Uvunaji na matumizi ya majani ni wa gharama nafuu, rahisi na pia ni rafiki wa mazingira
iii. Ina uwezo wa kuua viluilui vya mbu wasambazao ugonjwa wa malaria, matende, mabusha na homa ya manjano kwa wingi na kwa muda mfupi
January 2, 2014