Parts of this page are in Swahili. Edit translations

Makamu Mwenyekiti wa MVIWATA Zanzibar Bw. Makame Ali Makame, akizungumza kwenye mkutano mkuu wa MVIWATA Zanzibar 2009
Comments (0)

Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo Bw. Khalid Mohamed akifungua mkutano Mkuu wa MVIWATA Zanzibar 2009

Aliyekuwa Waziri Kiongozi wa Zanzibar Bw. Shams Vuai Nahodha, akishiriki katika uzinduzi mavuno ya kunde katika shamba la kikundi cha wakulima 2010

Viongozi wa Mtandao wa Vikundi vya Wakulima (MVIWATA)Zanzibar wakiwa na Afisa Kilimo, walipotembelea shamba la mpunga la kikundi

Mwanakikundi wa Jumuiya akiwa kwenye bango linaloelekeza ziliko ofisi za Jumuiya

