Envaya
JINSIA NA MAENDELEO
Discussions
KUTOA ELIMU YA UFUNDI KWA JAMII.
Mada hii inahusu kuwawezesha wanajamii kuweza kutengeneza na kuuza bidhaaa zao wenyewe,ili kuweza kujikwamua na umaskini kwa wao wenyewe kuanzisha viwanda vidogo kama vya kutengeneza sabuni za mchena za unga nk.
July 8, 2013 by DANIEL PININI.
Other discussions on Envaya
Add New Discussion Topic