Envaya
Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Igiswayire. Edit translations

     Jean media imetoa msaada wa katoni za maji , na vitafunio mbalil mbali vya watoto kwa wahanga wa janga la kitaifa lililo tokea Gongo la Mboto juzi ambapo mabomu yali lipuka ghafla kwenye ghala za mabomu ziliopo eneo la Gongo la mboto. mpaka sasa watu 20 wamekwisha poteza maisha yao na 300 ni majeruhi. Janga hili limewahi kutokea hapo Mbagala.

18 Gashyantare, 2011
« Inyuma Ahakurikira »

Tanga igitekerezo

Izina ryawe:
Aho uherereye
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.