Envaya
Parts of this page are in Swahili. Edit translations

     Jean media imetoa msaada wa katoni za maji , na vitafunio mbalil mbali vya watoto kwa wahanga wa janga la kitaifa lililo tokea Gongo la Mboto juzi ambapo mabomu yali lipuka ghafla kwenye ghala za mabomu ziliopo eneo la Gongo la mboto. mpaka sasa watu 20 wamekwisha poteza maisha yao na 300 ni majeruhi. Janga hili limewahi kutokea hapo Mbagala.

February 18, 2011
« Previous Next »

Add a comment

Your name:
Your location:
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.