Envaya
Parts of this page are in Swahili. Edit translations

large.jpg

Wananchi wa kijiji cha IGUNGA walihudhuria mkutano wa hadhara wa kufanya ufuatiliaji wa matumizi ya rasilimali za Umma(PETS) na uridhishwaji wa huduma za afya (PSDA)juu ya afya ya uzazi na mtoto.

large.jpg

Wananchi wa kijiji cha IGUNGA walihudhuria mkutano wa hadhara wa kufanya ufuatiliaji wa matumizi ya rasilimali za Umma(PETS) na uridhishwaji wa huduma za afya (PSDA)juu ya afya ya uzazi na mtoto.

large.jpg

kushoto ni Mwenyekiti wa kijiji cha IGUNGA akifungua mkutano wa hadhara uliotishwa na ICISO, kwa ufadhili wa FCS kuzungumzia ufuatiliaji wa matumizi ya raslimali za umma (PETS) na uridhishwaji wa upatikanaji wa huduma za afya (PSDA) katika kipengele cha afya ya uzazi na mtoto.

large.jpg

Wananchi wa kijiji cha ILULA ITUNDA walihudhuria mkutano wa hadhara wa kufanya ufuatiliaji wa matumizi ya rasilimali za Umma(PETS) na uridhishwaji wa huduma za afya (PSDA)juu ya afya ya uzazi na mtoto.

large.jpg

Wananchi wa kijiji cha ILULA SOKONI walihudhuria mkutano wa hadhara wa kufanya ufuatiliaji wa matumizi ya rasilimali za Umma(PETS) na uridhishwaji wa huduma za afya (PSDA)juu ya afya ya uzazi na mtoto.

large.jpg

Wananchi wa kijiji cha ILULA ITUNDA walihudhuria mkutano wa hadhara wa kufanya ufuatiliaji wa matumizi ya rasilimali za Umma(PETS) na uridhishwaji wa huduma za afya (PSDA)juu ya afya ya uzazi na mtoto.

large.jpg

Mwenyekiti wa kijiji cha ILULA ITUNDA akifungua mkutano wa hadhara ulioitishwa na ICISO kuzungumzia ufuatiliaji wa matumizi ya rasilimali za umma (PETS) na uridhishwaji wa huduma za afya (PSDA) katika kijiji hicho

large.jpg

Wananchi wa kijiji cha ILULA SOKONI walihudhuria mkutano wa hadhara wa kufanya ufuatiliaji wa matumizi ya rasilimali za Umma(PETS) na uridhishwaji wa huduma za afya (PSDA)juu ya afya ya uzazi na mtoto.

large.jpg

Wananchi wa kijiji cha ILULA SOKONI walihudhuria mkutano wa hadhara wa kufanya ufuatiliaji wa matumizi ya rasilimali za Umma(PETS) na uridhishwaji wa huduma za afya (PSDA)juu ya afya ya uzazi na mtoto.

large.jpg

Wananchi wa kijiji cha ILULA SOKONI walihudhuria mkutano wa hadhara wa kufanya ufuatiliaji wa matumizi ya rasilimali za Umma(PETS) na uridhishwaji wa huduma za afya (PSDA)juu ya afya ya uzazi na mtoto.