Envaya
Parts of this page are in Swahili. Edit translations

large.jpg

Mtendaji wa kijiji cha Ilula sokoni akifumgua mkutano ulioitishwa na ICISO juu ya ufuatiliaji wa matumizi ya sasilimali za umma (PETS) na uridhishwaji wa huduma za afya (PSDA) unaofadhiliwa na The Foundation For Civil Society (FCS)

large.jpg

Mwananchi wa kijiji cha IKuka akitoa maoni yake katika mkutano wa hadhara kuhusu ufuatiliaji wa matumizi ya rasilimali za Umma(PETS) na uridhishwaji wa huduma za afya (PSDA)juu ya afya ya uzazi na mtoto.

large.jpg

Wananchi wa kijiji cha IKUKA walihudhuria mkutano wa hadhara wa kufanya ufuatiliaji wa matumizi ya rasilimali za Umma(PETS) na uridhishwaji wa huduma za afya (PSDA)juu ya afya ya uzazi na mtoto.

large.jpg

Wananchi wa kijiji cha IKOKOTO walihudhuria mkutano wa hadhara wa kufanya ufuatiliaji wa matumizi ya rasilimali za Umma(PETS) na uridhishwaji wa huduma za afya (PSDA)juu ya afya ya uzazi na mtoto.

large.jpg

Wananchi wa kijiji cha IKOKOTO walihudhuria mkutano wa hadhara wa kufanya ufuatiliaji wa matumizi ya rasilimali za Umma(PETS) na uridhishwaji wa huduma za afya (PSDA)juu ya afya ya uzazi na mtoto.

large.jpg

Wananchi wa kijiji cha MATALAWE walihudhuria mkutano wa hadhara wa kufanya ufuatiliaji wa matumizi ya rasilimali za Umma(PETS) na uridhishwaji wa huduma za afya (PSDA)juu ya afya ya uzazi na mtoto.

large.jpg

Wananchi wa kijiji cha MATALAWE walihudhuria mkutano wa hadhara wa kufanya ufuatiliaji wa matumizi ya rasilimali za Umma(PETS) na uridhishwaji wa huduma za afya (PSDA)juu ya afya ya uzazi na mtoto.

large.jpg

Wananchi wa kijiji cha MATALAWE walihudhuria mkutano wa hadhara wa kufanya ufuatiliaji wa matumizi ya rasilimali za Umma(PETS) na uridhishwaji wa huduma za afya (PSDA)juu ya afya ya uzazi na mtoto.

large.jpg

Wananchi wa kijiji cha KILUMBWA walihudhuria mkutano wa hadhara wa kufanya ufuatiliaji wa matumizi ya rasilimali za Umma(PETS) na uridhishwaji wa huduma za afya (PSDA)juu ya afya ya uzazi na mtoto.

large.jpg

Wananchi wa kijiji cha KILUMBWA walihudhuria mkutano wa hadhara wa kufanya ufuatiliaji wa matumizi ya rasilimali za Umma(PETS) na uridhishwaji wa huduma za afya (PSDA)juu ya afya ya uzazi na mtoto.