Hali mbaya ya miundombinu ya shule wilayani Nyasa
![]() |
![]() |
Mlundikano darasani, dawati linalopaswa kukaliwa na wanafunzi watatu ama wanne linatumiwa na wanafunzi watano. Hii ni Shule ya Msingi Ndonga iliyopo wilayani Nyasa |
![]() |
Hiki ni choo cha walimu kama kinavyoonyeshwa na mwalimu |