Envaya

HakiElimu

Hongera Tido Mhando kwa kuwa mkurugenzi mpya wa Mwananchi Communications LTD

Hongera Tido Mhando kwa kuwa mkurugenzi mpya wa Mwananchi Communications LTD

BODI ya Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), imemteua Mwandishi wa Habari Mkongwe barani Afrika, Tido Mhando kuwa Mkurugenzi mpya wa kampuni hiyo kuanzia jana.(Source: Tovuti ya Facebook ya Mwananchi).

HakiElimu inatoa pongezi kwa uteuzi huo.
« Iliyotangulia Ifuatayo »

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.