Envaya

HakiElimu

Amakuru

Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Icyongereza. Edit translations

UBORA WA VITABU SEHEMU YA 4 - episode 2

Kipindi cha Tafakari kinachohusu ubora wa vitabu katika shule za msingi nchini, ambapo wataalam kutoka Taasisi ya Elimu Tanzania ( TEA) wanapata nafasi ya kuelezea sakata la vitabu vya chenji...
Views: 1
0 ratings
Time: 14:31 More in Film & Animation

UBORA WA VITABU VYA ELIMU YA MSINGI (3)

Kipindi cha TAFAKARI kinachoangazia UBORA WA VITABU KATIKA SHULE YA MSINGI . Wasikilize walimu wakichambua mapungufu yaliyoko katika baadhi ya vitabu wanavyovitumia. Je unafahamu ni mikanganyiko...
Views: 2
0 ratings
Time: 29:44 More in Education

Utata Wa Vitabu Vya Chenji Ya Rada

Mwalimu wa somo la Haiba na Michezo akielezea changamoto wanayokumbana nayo ambapo Mwongozo wa Mwalimu unatofautiana na Kitabu cha Mwanafunzi, hapa anatoelea mfano wa zoezi lililopo katika...
Views: 0
0 ratings
Time: 00:53 More in Education

Chenji ya Rada yatumika kununua vitabu visivyo na ubora

Kitabu cha Somo la Kiswahili kilichosambazwa katika shule mbalimbali nchini kilichonunuliwa kutokana na Chenji ya rada. Kitabu hiki kama kinavyoonekana katika picha kina makosa katika uchapishaji...
Views: 0
0 ratings
Time: 01:05 More in Education

MSINGI WA ELIMU HUANZIA ELIMU YA AWALI

Tangazo kutoka shirika la utetezi la HakiElimu linaloibua hisia kuhusu hali ya elimu nchini na kuonesha kwamba elimu ya awali ndio msingi wa elimu yote. Ujum...
Views: 0
0 ratings
Time: 01:01 More in Education

USAMBAZAJI WA WALIMU SHULE YA MSINGI MWAKA 2014

Serikali imekuwa ikiajiri walimu kila mwaka, na hivi karibuni imetangaza ajira za walimu 36021. HakiElimu imefanya uchambuzi wa ugawaji wa walimu kwa mwaka ...
Views: 0
0 ratings
Time: 02:17 More in Education

WAJIBU WA WAZAZI KATIKA ELIMU

Ni wajibu wako kama mzazi kufuatilia maendeleo ya elimu ya mwanao na kumpatia mahitaji muhimu ili kutimiza malengo yake katika maisha. Wajibika sasa.
Views: 0
0 ratings
Time: 01:08 More in Education

MOTISHA NA MAZINGIRA MAGUMU KWA WALIMU

Madhara ya kushindwa kutoa motisha kwa walimu na kuboresha mazingira yao ya kufundishia na kuishi yanapelekea kudorora kwa elimu nchini, Matokeo mabovu ya wanafunzi wa kidato cha 4 katika mitihani...
Views: 0
0 ratings
Time: 01:05 More in Education