Envaya
Parts of this page are in Swahili. Edit translations

Tarehe 13 June 2014 shirika la vijana Viyoso la mjini Morogoro lilitembele na kuwaona watoto yatima wano lelewa katika kituo cha watoto cha mgolole Manispaa ya Morogoro.

Akizungumza kwa niaba ya kituo Mlezi mkuu Sista Yasinta aliwashukuru vijana hao kwa moyo wa lio uonyesha na kuitaka jamii kuiga mfano wa shirika hilo la vijana

Akiongezea sista Yasinta alisema "watoto hawa wanafarijika sana wanapowaona mnawatembelea kwani jukumu hili si la mgolole tu pali ni Jamii yote ya Morogoro"

Mkurugenzi wa Shirika la vijana Viyoso Kutoka Morogoro Bw. Freddy Ng'atigwa aliyebeba mtoto akiwa na katibu wake Bi. Hilda Mwiligwa, Mlezi Mkuu wa kituo cha watoto yatima Mgolole Sista Yasista na asisa Mipango wa Viyoso Bw. Chacha kwenye picha ya pamoja kituoni Mgolole

Vijana wa Viyoso Hawakwenda mikono mitupu kwa watoto pale walitoa vitu mbalimbali kadili walivyo jaliwa, pichani katibu mkuu na wanachama wa viyoso wakitoa vitu kwa watoto

Mlezi mkuu wa kituo cha watoto yatima mgolole sista Yasinta akiwa pamoja na vijana kutoka viyoso walipo watembelea kuwaona

Katibu Mkuu wa Shirika la Viyoso akiwa na watoto yatima kituoni Mgolole

Baadhi ya vijana wa viyoso wakiwa kwenye picha ya pamoja na watoto walipo watembelea kituoni Mgolole

viyoso yatembelea kituo cha watoto yatima Mgolole

large.jpg

kikundi cha ujasiliamali kikiwa na bidhaa yao kwenye picha ya pamoja na mkurugenzi wa viyoso bwn freddy

large.jpg

vijana wakiwa katika mafunzo ya computer

large.jpg

kikundi cha ujasiliamali kutoka kata ya u/taifa kilchoudwa baada ya mafunzo