Hi! Mzeituni kwanza hongereni kwa kazi nzuri mnayoendelea kufanya katika harakati za kuiletea Tanzania maendeleo kama wadau muhimu kutoka ASASI ZA KIRAIA.
Namimi nampongeza Rais kwa hatua hiyo nzuri kwani ametoa mwongozo na nafasi ya Tanzania kama nchi dhidi ya yale yote yaliyokwisha semwa na hata wngine wasio na nia njema na shirikisho letu lakini kwa hili atakuwa amewajibu na wamekipata.
Kuna umuhimu mkubwa wa mashirikiyo na kuwa katika jumuiya kama hii ya kwetu,inao umuhimu mkubwa sana hasa katika mambo ya kiuchumi,kisiasa n.k
Tunategemeana sana hasa nguvu ya pamoja kukabiliana na wimbi la ugaidi duniani,hatutashinda vita hii kwa migawanyiko.
Nampongeza sana mheshimiwa Rais.