Mkurugenzi Mtendaji wa Mzeituni Foundation bwana Meshack Masanja akifurahia kitu na Chrispine F.Mabwenga wote kutoka Mzeituni,walipokuwa wakihudhuria kikao mjini dodoma,siku moja kabla ya Ufunguzi wa Maonyesho ya AZAKI,wakipata maelekezo na utaratibu namna watavyoendesha shughuri zao kesho yake,maelezo haya yakitolewa na mmoja wa watumishi wa Ofisi ya Spika.
June 13, 2013