Envaya
Epa-ukimwi imeendesha kampeni ya kutembelea majando ya tohara za kienyeji ili kusaidia jamii kufuata maelekezo ya wataalamu. Maelekezo hayo ni pamoja na matumizi sahihi na salama ya vifaa vya kutahiria na matibabu. Majando yaliyopitiwa ni yale ya kata za Matawale, Mbonde na Temeke.
7 Julai, 2014
« Iliyotangulia Ifuatayo »

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.